Adverts

Sep 3, 2009

LOOKING FOR MEDIA FUNDING ORGANISATION

We MBEYA Press Club looking for research fund to cover social related problems in Mbeya Region. The intended findings will be publicized and covered with both Local and International MEDIA houses. if ypou have details on institutions that finances this just inform us by Mbeyapressclub@yahoo.com

WAZO LA UTAFITI +UTENDAJI WA WAHUDUMU KLINIKI

Ninafikiria kufanya utafiti kuchunguza hali ya utendaji kazi wa watumishi wa afya kwenye eneo la uandikishaji wajawazito. Wazo hili limekuja baada ya kukutana na kadi kama nne za wajawazito zikiwa zimejazwa particular nyingi zinazoonyeshwa wamepimwa wakati hawakupimwa. Matokeo yake ni kwamba rekodi za mimba husika zinaendelea kuonyesha ipo salama kumbe kuna matatizo. Mfano kwenye kadi hiyo inaonyesha mjamzito huyo amepimwa 1.Mapigo ya moyo ya mtoto( Kitu ambacho hakupimwa kwa mujibu wa mja mzito mwenyewe) 2.Kwamba kuna kidokezo cha miguu kuvimba kwamba hana tatizo(wakati mjamzito huyo ana tatizo la kuvimba miguu tangu apate ujauzito. 3.Mtoto anacheza tumboni(ikaandikwa hachezi) wakati mjamzito katika maelezo yake inaonyesha mtoto anacheza. Hii ikaongezewa na maelezo kuwa kumekuwa na msongamano mkubwa wa wajawazito kliniki na matokeo yake wahudumu hao wamekuwa wakijaza kadi hizo bila kuwapima wakati kuna vidokezo vya hatari vinavyopaswa kurekodiwa vyema kwaajili ya kufuatilia maendeleo ya makuzi ya mimba na hali za wajawazito hao. Utafiti huu ninadhani unaweza kuibua mengi kwani bado vifo vya wajawazito vimekuwa vikiripotiwa kuendelea kutokea licha ya takwimu za serikali kuendelea kueleza kuwa vinapungua. ninahitaji mawazo yenu. nitumie kwenye dtweve1@yahoo.com

Salaam waungwana

Ndugu zangu kwa muda mrefu kidoogo nilikuwa na majukumu ya kiserikali sikuwa hewani sasa nimerejea na ninadhani nitaendelea kuwapa vitu vilivyo vya uhakika kwa wakati na muda unaotakikana. kwanza tulia kunywa kahawa halafu endelea

Jul 9, 2009

Nimeshapata jiko

Salaam wasomaji wa blog hii, ninapenda kuwaashukuru wote walionitumia salaam za kheri ya kuanza ndoa na maisha ya mke na mme, kimsingi nimeanza hatua hiyo na bado tutaendelea kupeana usahauri kwenye safari ya maisha. all the best Danny

May 3, 2009

HONGERA DOROTH MWANYIKA, MBOZI WANAKUKUMBUKA KWA KUSIMAMIA VYEMA TANZA KESHO

Rais aliwaapisha pia Makatibu tawala wa mkoa wa Mwanza Bi.Doroth Mwanyika na katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara Bwana Yusuf Athumani Matumbo. Bi Mwanyika anakumbukwa vyema na wananchi wa wilaya ya Mbozi kwa jinsi alivyoweza kusimamia mradi wa TANZA KESHO-ama CAPACITY 21 uliokuwa ukitekelezwa na halmashauri ya wilaya ya Mbozi kwa ushirikiano na UNDP. Utendaji wake unatajwa kuwa ndiyo mafanikio yaliyomwezesha kufanya kazi maeneo mbalimbali, ofisi ya katibu tawala mkoa wa mbeya, UNICEF na sasa huko kwenye ukatibu TAWALA. Picha kwa hisani ya Blog ya Mawasiliano Ikulu.

MBEYA PRESS YAPATA VIONGOZI WAPYA

Mwandishi wa TBC bwana NICO MWAIBALE jana aliibuka kwa ushindi wa kimbunga kuwa mwenyekiti wa chama cha wandishi wa habari mkoa wa mbeya. Katika uchaguzi huo ambao haukupata uwakilishi kutoka Umoja wa Vyama vya wandishi wa habari mikoani UTPC, ulifanyika kwa amani katika ukumbi wa chuo cha wafanyakazi Mbeya. Mwaibale ambaye katika nafasi ya uenyekiti alikuwa akishindana na mwenyekiti aliyemaliza muda wake bwana Christopher Nyenyembe, aliibuka na kura 26 dhidi ya 10 za Nyenyembe. Makamu mwenyekiti alichaguliwa Jane Lawa ambaye hata hivyo hakuhudhulia kwenye uchaguzi huo kwa kulamba kura 20 dhidi ya 15 za Richard Kilumbo. Katibu mkuu alichaguliwa Patrick Kossima (27) na kumshinda Kenneth Mwazembe (9), Katibu msaidizi alichaguliwa Merali Chawe kwa kura 31 za Ndiyo kati ya 36 zilizopigwa.(chawe hakuwa na mpinzani). Mweka hazina alichaguliwa Pendo Fundisha aliyepata kura 31 za Ndiyo na kura 3 za hapana baada ya kukosa mshinani, wajumbe wa kamati kuu walichaguliwa Danny Tweve aliyepita bila kupingwa baada ya kuwania nafasi hiyo peke yake. Wajumbe wengine katika kamati hiyo waliochaguliwa kwa kushindanishwa ni pamoja na Ester Macha, Sada Matiku. Kamati zingine waliochaguliwa ni Charles Mwakipesile(Nidhamu), Festo Sikagonamo (Mafunzo na Ujenzi) na Emanuel Simfukwe (Uchumi). Kwa uchaguzi huo Chama cha wandishi wa habari mkoa wa Mbeya kimetimiza masharti na maelekezo mapya ya UTPC kwa kila klabu kuwa na uwakilishi sawa kijinsia katika nafasi zote za maamuzi. Tunamshukuru bwana Christopher Nyenyembe kwa Uongozi wake kwa kipindi cha miaka 3 iliyopita ambapo ameiwezesha klabu kupata heshima ndani ya nchi kutokana na wanachama wake watatu akiwemo yeye mwenyewe kutwaa tuzo za uandishi bora wa habari za uchunguzi kwa miaka miwili.MBEYA PRESS CLUB >>> PEOPLE’S VOICE

WANDISHI MBEYA WASIKITISHWA NA VIFO VYA WENZAO

Mkutano mkuu wa Chama cha wandishi wa habari mkoani Mbeya, umepokea kwa masikitiko taarifa ya vifo vya wanachama wake 6 katika kipindi cha miaka 3 iliyopita. Kifo cha hivi karibuni ni cha Mhariri Mkuu wa Radio Uhuru Deogratius Kiduduye aliyefariki Lagos Nchini Nigeria alikoenda kwaajili ya maombi katika Kanisa la Synagogue church of All Nation linaloongozwa na Nabii Tb Joshua. Deo alikuwa mwanachama wa chama hicho hadi alipohamia jijini Dar es salaam kuchukua majukumu ya uhariri katika kituo cha Radio Uhuru, ambapo katika kipindi chote cha uhai wake amekuwa akitoa ushauri namna ya kuiendeleza klabu hiyo. Wanachama wengine waliofariki dunia ni pamoja na Niko Mwakatumbula, John Lubungo, Silvester Kikungwe, Rose Nkuba, Albano Wikedzi, Erasto Palick na Mariam Ngole ambao kwa pamoja wamefariki katika vipindi tofauti vya miaka mitatu ya uongozi uliomaliza muda wake hapo jana. Wanachama waliozungumza na blog hii wamesema katika jumuiya ya wanachama 60 kupotelewa na wanachama wake 8 ni jambo la kusikitisha na kumwomba mungu awatunze na kuwafikisha mahala salama marehemu wote hao. AMEN

Apr 30, 2009

MCHUNGAJI ALIYEJIFANYA KUIBANIA MAHAKAMA, YAMKUTA HATIMAYE AREJEA KUAPA

Hatimaye Mchungaji Simon Kitwike wa Kanisa la EAGT Ichenjezya wilayani Mbozi mkoa wa Mbeya, aliyekataa kuapa mahakamani na kupelekea kufungwa kifungo cha miezi sita jela, amekubali kuapa na hivyo kuruhusiwa kuendelea kutoa ushahidi wake.Marchi 23,mwaka huu kesi yake ilipotajwa kwa mara ya pili
Mchungaji huyo ambaye anatumikia kifungo chake akiwa nje ya Gereza, alifika mahakamani hapo alipoulizwa kama atakuwa tayari kuapa alikubali kufanya hivyo kasha alipewa Biblia na kuapa kwa mujibu wa sheria.Kesi hiyo inawakabili washitakiwa watatu akiwemo mwanamke mmoja ambao ni Telezia Mtega, Hekima Simkoko na Emmanuel Lwinga ambao walikutwa na baadhi ya vifaa vya wizi ambavyo vinasadikiwa kuwa mali ya mchungaji Simon Kitwike.Hata hivyo baadqa ya kutoa ushahidi wake kesi iliahirishwa hadi Marchi 31 itakapotajwa tena, na kuwa washitakiwa wawili wako nje kwa dhamana, ambapo mshitakiwa mmoja anashikiliwa kutokana na kuwa na kesi nyingine inayomkabili.Februari 4, mwaka huu mchungaji huyo alifika katika mahakama ya wilaya ya Mbozi ili kutoa ushahidi kwa watuhumiwa watatu waliokamatwa na baadhi ya bidhaa zilizoibiwa nyumbani kwake Oktoba 25 mwaka jana, lakini kutokana na imani ya dini yake alikataa kuapa mahakamani kwa mujibu wa kifungu katika Biblia cha Injili ya Mathayo 5:33 – 37 ambacho kinaeleza kuwa “Tena mmesikia watu wa kale walivyoambiwa usiapa uongo ila mtimizie Bwana nyapo zako lakini mimi nawaambia msiape kabisa hata kwa Mbingu kwa maana ndicho kiti cha enzi cha Mungu”.Baada ya kukataa na kusoma kifungu hicho Hakimu Nyasige Kajanja aliahirisha kesi hiyo kwa muda ili akajiridhishe na sheria, hata hivyo alipporejea tena mahakamani hakimu huyo alimsomea sheria kuwa asiyeapa anatenda kosa la kuidharau mahakama ambalo adhabu yake ni kifungo cha miezi 12 jela kwa kutumia kifungu cha sheria namba 198(1) kama ilivyorekebishwa mwaka 2002.Hata hivyo Hakimu Kajanja alimtaka Mchungaji huyo kusoma kitaBU CHA Warumi 12;1-2 kinachoeleza kuwa;” Kila mtu na aitii Mamlaka iliyo kuu kwa maana hakuna mamlaka iliyopo imeamriwa na Mungu, hivyo amwasiye mwenye Mamlaka hushindana na agizo la Mungu nao washindanao hujipatia hukumu”Mchungaji huyo alifungwa jela miezi sita kufuatia kukataa kuapa mahakamani ambako alitakiwa kuapa kabla ya kuanza kutoa ushahidi wake juu ya kuvunjiwa nyumba yake na kuibiwa mali zenye thamani ya shilingi milioni 2.2.Akizungumzia mkasa uliompata alisema kuwa Oktoba 25 mwaka jana majira ya saa sita za usiku kundi la majambazi lilifika nyumbani kwake na kumuamuru kutoa fedha la sivyo wangemuua.Mchungaji huyo alitaja mali alizoibiwa kuwa ni pamoja na fedha taslimu shs. 1.212 milioni, godoro moja, seti moja ya luninga, radio mbili masanduku mawili ya safari (Brief case) na simu za mkononi mbili na rewinder moja, hata hivyo majambazi hayo hayakuwadhuru

CHELE BOVU LAMWAGWA!!!!! KWELI NDOMONDO ANATISHA

Jumla ya tani 11 za mchele uliokuwa ukisafirishwa kutoka nchi ya Vietnam kuingia nchini na kukamatwa na Mamlaka ya Mapato nchini, katika mpaka wa Tanzania na Zambia katika mji wa Tunduma wilayani mbozi mkoa wa Mbeya ukivushwa kutokea jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada yan kukataliwa nchini humo, umeteketezwa jana Kwa mujibu wa Meneja Msaidizi wa mamlaka hiyo mkoani Mbeya Rogasian Shirima ameeleza kuwa mchele huo ulivushwa katika mpaka wa Tunduma ukipelekwa nchini Kongo Februari 9 mwaka huu ukiwa jumla ya tani 16 ambapo mamlaka ya chakula na afya nchini Kongo iliukataa mchele huo kwa sababu za kiafya na ikaamuru urudishwe Vietnam .Alisema kuwa nchini Kongo walipokea tani 6 tu ambazo zilizokidhi kiwango kwa afya ya binadamu na mwingine kukataliwa ambapo imeelezwa katika nyaraka za usafirishaji wa mchele huo hazikuwa na maelezo ya mzalishaji, mwaka uliozalishwa na tarehe ya mwisho ya kutumika.Naye Afisa Mkaguzi wa Mamlaka ya uthibiti wa chakula na madawa nchini (TFDA) Kalekayo Emmanuel amethibitisha mchele huo kuwa haufai na hivyo kuamuri kuteketezwa ili kuwanusuru wananchi ambao wangeweza kuuziwa chakula hicho.Shehena hiyo ya mchele ilikuwa ikisafirishwa na gari lenye usajili namba T193 AAL na tela T353 AKV aina ya Scania likiendeshwa na dereva Bakari Athuman (51) ambaye ameeleza kuwa alipakia mzigo huo katika bandari ya Dar es Salaam Februari 6 na kuvuka mpaka Tunduma na Nakonde Februari 9 na kwamba amelazimika kukaa Kongo kwa muda wa mwezi mzima baada ya kukataliwa kupakuliwa mzigo huo.Mmiliki wa lori hilo Komuni Sirai amesema kuwa yeye alikodisha gari lake kwa Gabriel Luxo raia wa Kongo ambaye aliingiza mchele huo kutoka Vietnam na kwamba kitendo cha mchele huo kukataliwa kumemfanya apate hasara zaidi ya dola za kimarekani 7000 baada ya mteja wake kutoroka bila kumlipa.Hata hivyo ameshukuru kwa mamlaka hizo kwa kutoa uamuzi ambao umempa nafasi ya kuondoa mchele na kwamba gari lake litaweza kufanya kazi zingine.Baadhi ya watu ambao walishuhudia tukio la uteketezaji wa mchele huo walisema kuwa, kusafirishwa kwa mchele huo kupitia mipaka ya nchi yetu inaonesha kuwa idara zinazohusika na udhibiti wa uingiaji wa bidhaa kutoka nje bado hazijawa makini, hali ambayo imepelekea mzigo huo kufika hadi Kongo na kasha kurejeshwa tena jambo ambalo wamesema linaonesha udhaifu mkubwa.

MTUMISHI WA MUNGU MWAKASEGE KUFANYA MKUTANO BIRGHAM

KWA WATAKAOPATA FULSA HUDHURIENI MPATE HUDUMA YA KIROHO NA UPAKO
NI MTUMISHI ALIYE JUU KATIKA HUDUMA ZA KIROHO, ANAHESHIMIKA, NI VIFAA MUHIMU KATIKA MASUALA YA KUMWOKOA BINADAMU KIROHO NA KIMWILI: MHUBIRI MSOMI ELIMU YA UCHUMI NA BIBLIA

DARAJA LA MNING'INIZO

Hii picha nimedowea kwa mdau wangu maisha ni vita.blogspot.com.
Hili ni ja ya madaraja yaliyojengwa na Mfuko wa maendeleo ya jamii TASAF wilayani Mbozi, ila daraja kama hili ukiwa chicha unaweza kujiachia, manake linanesa eeeee, hadi unamwaga pombe zote kichwani.
Hongera Tasaf Mbozi kwa kuwasogezea wananchi huduma manake walikuwa wanaogolea kwenye mto kwenda upande wa pili, sasa wanafunzi inakuwaje pale wanahitaji kwenda shuleni?

ALBINO ANAPOKARIPIWA NA POLISI

Mlemavu wan Ngozi Bi Judith Silwimba anaonekana akinyoshewa kidole na Mkuu wa kituo cha polisi cha Tunduma kilichopo mpakani mwa Tanzania na Zambia afande ALLY kwa kile kinachodaiwa kuwa mwanamke huyo alikuwa ametoa taarifa za kuwindwa na baadhi ya watu kwa lengo la kumtenda; Bi mkubwa huyu analalamikia kitendo cha kupuuza taarifa alizotoa Polisi na kuwataja watu waliomtishia kuwa ni dili!!!!! nadhani afande Ally atalifanyia kazi jambo hilo manake hawa watu wanaweza kukuweka pabaya kama unapuuza.

MANAMBAZI WATOROKA KWA HELKOPTA BAHARI YA HINDI

The two crew members of the hijacked helicopter were unhurt A convicted sex offender and cult leader has escaped by helicopter from a prison on the French Indian Ocean island of Reunion, officials say. Juliano Verbard, 27, serving a 15-year term, and two followers, were pulled on to the helicopter by three accomplices. The accomplices had pretended to be tourists when boarding the helicopter, but then forced the pilot to land in the prison grounds before flying off. They then landed a few hundred metres away, and drove off in a waiting van. The island's police force said a major search was now under way for Verbard and his fellow prisoners, Alexin Jismy and Fabrice Michel. Verbard, the leader of the pseudo-religious cult, the Sorrowful and Immaculate Heart of Mary, was jailed in 2008 for rape and sex attacks on children, and the other two for their roles in a kidnap. At the time of his trial, psychiatrist Gerard Toulfayan described Verbard as an "extremely powerful manipulator with great intelligence". The two helicopter crew members were unhurt.

AFRICAN JOURNALISTS FELLOWSHIP

UC Berkeley Fellowships for African Journalistshttp://www.journalism.berkeley.edu/press/african_journalists/The Graduate School of Journalism at the University of California at Berkeley is pleased to invite applications for two yearlong fellowships for accomplished African journalists, beginning in August 2009.The fellowships will each total $36,000, including roundtrip airfare, professional stipends, and rent while in Berkeley . The initiative will also offer dedicated funding for both domestic U.S. and Africa travel for research and reporting work.The selected fellows will join the School’s Visiting International Scholars Program and participate in a new journalism training initiative aimed at producing high quality coverage of agricultural development issues in Africa for dissemination in U.S., African, and international media.Requirements:Selected fellows must bring at least five years experience in journalism in sub-Saharan Africa , in any medium including print newspaper, magazine, television, radio, documentary, or new media format such as blogging, podcasting, and other online publishing.Applicants also must demonstrate a proven track record of commitment to the truth-seeking craft, and a willingness to effectively investigate problems of food access and production on the continent.A B.A. degree, at minimum, is strongly desired, along with experience and knowledge about agricultural issues in African countries.Selected African fellows will enroll with other Visiting Scholars in background courses at Berkeley examining the global food crisis starting in late August 2009, while also contributing their knowledge about Africa and journalism to their U.S. and international peers.Applications must include a CV, three examples of work, and a one- page cover letter containing a statement of interest. Please send applications to the following email address, c/o dean’s assistant Julie Hirano: africa@journalism.berkeley.eduDeadline for applications: May 1, 2009This opportunity is part of a new two-year grant provided by the Bill & Melinda Gates Foundation to the Graduate School of Journalism at the University of California at Berkeley .

Apr 21, 2009

Mandela ahimiza umaskini ufekwe

Rais mstaafu wa Afrika Kusini,Nelson Mandela amehudhuria kikao cha mwisho cha kampeni ya uchaguzi ya chama chake cha ANC hii leo,siku tatu kabla ya uchaguzi wa bunge nchini humo.Maelfu ya wafuasi wa kiongozi mpya wa ANC,Jacob Zuma,wamemshangiria Nelson Mandela alipoingia katika uwanja wa michezo mjini Johannesburg."Katika wakati ambapo tunataka kuhakikisha ushindi kwa chama chetu,tunabidi tukumbuke kwamba jukumu letu la mwanzo ni kuung'owa umaskini" amesema mwanasiasa huyo mwenye umri wa miaka 90,mshindi wa zawadi ya amani ya Nobel.Chama kilichojitenga cha Congress kinafanya kampeni yake ya mwisho ya uchaguzi leo pia katika mkoa wa Limpopo na kile cha upinzani cha Democratic Alliance kilikutana jana mjini Cape-Town. ANC kinapewa nafasi nzuri ya kuibuka na ushindi,katika uchaguzi huo wa nne tangu tangu tukio la kihistoria la mwaka 1994 lililomleta madarakani Nelson Mandela.Wapiga kura milioni 23 watatakiwa jumatano ijayo walichague bunge jipya la taifa na mabunge ya kimkoa.
Married Priests are Longing to Serve Through the Church It is very clear that the Roman Catholic Church has a great need of priests. The Bishops worldwide have brought their concern repeatedly to the Vatican. In addition priests are needed to bring the Eucharist to those Catholic people who do not have a resident priest. The Eucharist is the essence of Catholicism. Currently on the sideline, there are approximately 150,000 validly ordained priests. But these priests are married. The majority of these priests are ready, and willing to return to the sacred ministry of the altar. It is our mission to find a way to reconcile these married priests with the Church and to reinstate them in the public sacred ministry, working in every way possible with the Church. It is evident that the “care of souls” demands a new pastoral provision to make this vision a reality. No lesser apostle than St. Paul himself demonstrated his theology of the priesthood and the episcopacy when he wrote to Timothy: “A Bishop must be irreproachable, married only once, temperate, self controlled, decent, hospitable, able to teach, not a drunkard, not aggressive, but gentle, not contentious, not a lover of money.” (Timothy 3:2-3) Married priests are longing to serve God and the people in the Christian community through the church. The new association of married priests called “Married Priests Now!” is calling for those priests who are currently married, and all national and international married priest organizations to unite in an open call to the Roman Catholic Church to reconcile married priests to active service. Archbishop Emmanuel Milingo feels that he is an apostle called to bring married priests back to full service in the church due to the current priest shortage and the need to bring the Eucharist to every Catholic. Archbishop Milingo wants to see a priest in every parish. He feels it is the Will of God to bring priests back as full, vibrant and active ministers of the word and Eucharist. Married Priests Now! seeks to value the ministry of married priests and reconcile them to public sacred ministry. It is not only a benefit to the church but to all of humanity. The role of the married priests in the family is essential. The family is the nucleus of the church and of society. The priest’s ministry to his family gives him the experience and relationship to see the gospel differently and practically. The charisma of married priests is needed now. St. Peter was a married priest and so were the other apostles. It is the right of every human person to freely be accepted and given in marriage. This right must be returned to priests in the Latin Roman Communion. It is not only a matter of justice to the priesthood but a matter of the survival of the Church in the future. For further information about Married Priests Now! please call 202-577-3544 IF YOU WANT TO LEARN MORE VISIT HIS SITE at www.archbishopmilingo.org/
Jamani Arch Bishop Emmanuel Milingo na Maria Sung ambao walioana mwaka 2006 wapo wapi manake sijapata maendeleo ya ndoa yao, mwenye neno naomba anipe in brief

CAF EMBLEMS

Haya jamani minembo ya CAF hiyo hapo kwa wataalamu wa graphics cheza nayo sijui mtatuprintia tshirts au nini pouuuuua tu

KAIZER CHIEFS

Kaizer Chiefs a South African football (soccer) club, founded 7 January 1970 in Soweto, Johannesburg. The team is nicknamed The Amakhosi which means "lords" or "chiefs" in Zulu. They usually play their home games at either FNB Stadium or Ellis Park Stadium.

INTERPOL initiative with Microsoft aims to raise global standards against cybercrime through strategic partnership with IT sector

The Microsoft Computer Online Forensic Evidence Extractor (COFEE) software tool will aid law enforcement investigators in each of INTERPOL's 187 member countries.REDMOND, USA – As part of INTERPOL’s Global Security Initiative (GSI) to address 21st century security challenges and equip global police forces with cutting edge tools, INTERPOL has signed an agreement with Microsoft Corp. at the first international public safety symposium, in line with INTERPOL’s growing partnership with the IT sector. With INTERPOL committed to raising standards globally in the fight against IT crime, today’s agreement will see INTERPOL’s 187 member countries use Microsoft tools to improve police capacity and technical expertise in cyber forensics and against cybercrime. Under this agreement, Microsoft will make available to INTERPOL’s 187 member countries its Computer Online Forensic Evidence Extractor (COFEE) software tool to aid law enforcement investigators in incident response investigations access live computer system data. Since volatile data collection is a paramount concern in live incident response situations, investigators often need to create a record of existing system files and folders without compromising its evidentiary value. COFEE will assist police in INTERPOL’s member countries gather information that might otherwise be lost if the target system was shut down, by allowing investigators to configure and use a set of programmes designed to gather content from a running system. “Law enforcement organizations face an evolving and increasingly complex set of challenges, in the information age,” said Linda K. Zecher, Corporate Vice President of the Worldwide Public Sector at Microsoft. “It is essential that they are equipped with the right technologies to meet these challenges and we are pleased to partner with INTERPOL to support that cause through free distribution of the COFEE tool to frontline investigators across the world.” After INTERPOL undertook a computer forensic examination of computers and hardware seized from a FARC rebel camp by Colombian authorities in March 2008, INTERPOL determined that more resources had to be committed to first responder police units in handling electronic evidence. “As the world’s global police organization, INTERPOL is uniquely suited to forge partnerships across all sectors that will help law enforcement in its member countries raise their standards, particularly in the area of IT crime which is borderless and constantly evolving,” said Elaine Dezenski, INTERPOL’s Global Security Initiative (GSI) Managing Director. “In extending vital frontline tools and resources such as COFEE to cyber investigators worldwide, INTERPOL’s initiative with Microsoft shows how it is working to bring additional resources and cutting-edge tools to its members to fight the threats of the 21st century.” With law enforcement continually challenged in a more complex and interdependent world, INTERPOL is forging partnerships across the public and private sectors to enhance collective security. The organization’s concept of strategic global partnerships was formalized as a key part of INTERPOL’s platform for 21st century law enforcement when it launched its Global Security Initiative in October 2008.

Interpol mpooo

kwa wasiyoijua nembo ya Interpol, hapa ni lidude lao, kimsingi wanafanya kazi kwa ushirikiano wa karibu baina ya polisi wa nchi na nchi, na awmefanikisha sana kuzuaia wizi wa magari na usafirishaji wa biashara harama ya nani hii

MDC 'shell-shocked' at Mahlangu's comments

Zimbabwe's opposition Movement for Democratic Change in South Africa is "shell-shocked" at Gauteng local government MEC Dorothy Mahlangu's verbal attack on Central Methodist Church Bishop Paul Verryn."For Mahlangu to accuse a man of God, Bishop Paul Verryn of exposing Zimbabweans to danger when he is in actually providing us shelter is very regrettable," said MDC spokesman Sibanengi Dube."At least thousands of our people have somewhere to lay their heads where no rain can soak. We now have a roof over our heads, isn't [that] better than sleeping in the streets?" he asked.On Friday, Mahlangu said that Zimbabwean refugees should not be allowed to stay at Johannesburg's Central Methodist Church and that she thought Bishop Paul Verryn was exposing them to more danger.

MZEE WA KICHAKA ANAVYOZISAKA PESA

Mzee mmoja wa Kichaga ambaye alikuwa mkalisana kwa binti yake anaamka asubuhi na kutaarifiwakwamba binti yake ana mimba! Mzee wa Kichaga:"Aisee we Manka,nakwenda kazini,nikirudi leo ni lazima uniambie ni nanikafanya uchafu huu"Anafoka na kuondoka kuelekea ofisini. Mchana anapigiwa simu na Mama Manka nakuambiwa kwamba yule jamaa aliyempa mimba bintiye yuponyumbani anamsubiri kwa mazungumzo! Mzee anachukua panga lake na kulinoakabisaaa kwa ajili ya kwenda kumteketeza mwanaharamu huyo. Kufika nyumbani mambo yanakuwa hivi: Kijana aliyempa mimba binti:Mmmh!!Mzee ni kweli mi ndiye nimempa mimba binti yako, na kusemakweli sina mpango wa kumuoa.Lakini akizaa mtoto wa kiume nitakupa US$ 1 million naghorofaKariakookisha nachukua mtoto.Akizaa mtoto wa kike nakupa US$ 1million na duka Sinza! Lakini je mzee, ikitokea bahati mbaya mimba hii ikaharibikaitakuwaje? Mzee wa Kichaga:Aisee babaangu itabidi tuumpe mimba nyingine,hakuna jinsi!

SABC KWACHAFUKA

Several top journalists have quit the SABC, reportedly because their working conditions under Snuki Zikalala, the managing director of news, have become intolerable. Several SABC staffers told The Sunday Independent on condition of anonymity they too would leave if given the opportunity because as journalists they were expected to present exclusively positive stories about government activities. Lesego Mncwango, the SABC spokesperson, on Friday confirmed the resignations of Vuyo Mvoko, the political editor, and Kalay Maistry and Clayson Monyela, both senior political reporters. Three members of the science desk - Mahlatse Gallens, Stuart Thompson and Mandla Zembe - have also quit. Zembe was allegedly hounded by S'bu Ndebele, the KwaZulu-Natal premier, for reporting that Ndebele had been stoned at a June 16 meeting. 'We believe that there is an intimate connection between staff morale and independence'Mvoko is going to work as an independent political analyst, Maistry has joined al-Jazeera International as its southern African correspondent, while Monyela is joining the government. In addition, the SABC has been operating without a permanent head of television news since Jimi Matthews was sidelined to a newly created position to help the corporation plan for the 2010 soccer World Cup coverage. Amrit Manga, the acting head of television news and a former print journalist, has been criticised by staff for lacking broadcasting experience. The position of head of radio news, vacated by Pippa Green, has also not been filled. "No one wants to work here, the morale is low and people are looking for jobs in droves," a senior staffer said on condition of anonymity. She said many people in the newsroom lacked confidence and did not feel they had their bosses' support. "Before Zikalala's return the newsroom had an energy and journalists could express themselves freely: now we're under siege," she said.This year, a growing list of people have quit, including Trevor Smit, SABC3 general manager; Aletta Alberts, SABC2 general manager; Laura MacKenzie, SABC2 financial manager; Hannelie Bekker, SABC3 programme manager; Tango Lamani, acting senior general manager of corporate affairs; Savannah Williams, SABC3 marketing manager; Elize Viljoen, SABC2 commissioning editor; Sherelle Schmulian, the executive manager in the office of the SABC chief executive; Dr Anina Maree, the head of market research at SABC radio; and Paul Setsete, the former SABC spokesperson.

HONGERENI KWA KUCHOMOA DAKIKA ZA REFA

iNADAIWA kuwa ati mlichomoa bao kwenye dakika za refalii siyo za uwanjani sijui nikweli maneno haya, lakini hongereni kwani maajabu kama haya ndiyo yanayoziokoa timu kwenye migogoo vinginevyo ungeshuhudia watu wakichapana makonde na bakora wakati mchezo ni furaha!!!!!

SAAAFI MAMTONI BONGO UNITED INATUWAKILISHA

Nimelamba hii picha kwa mdau wa mablog mh Michuzi, kimsingi nimevutiwa na watanzania hawa walioko ughaibuni kwa kuanzisha timu yao ya soka kwa kuiita bongo united, hebu watengenezeni vijana huko halafu wapate ajira manake ni kupitia humo humo madalali na mawakala wanatoa macho bwana!!

WAZIRI MKUU AKIKAGUA GAWRIDE CCP

Vijana hongereni kwa kuhitimu mafunzo yenu vyema, sasa mkija uraiani changamoto ni kuwa mtumie vyema taaluma yenu ya kijeshi katika kudhibiti uhalifu na msiwe chanzo cha uhalifu, manake kuanza kujenga tamaa kunasababisha kutumia vibaya weredi zenu na matokeo yake mnajikuta mkilaumiwa na jamii: Tumeanzisha polisi jamii tukitegemea kuwa mtashirikiana na wananchi katika kuzuia uhalifu na siyo kufyagilia uhalifu. Afaandeeep

MAMA KIKWETE TUWAKILISHE VYEMA HUKO UGENINI

First Lady wa Tanzania mama -Salma Kikwete akipokea maua kama ishara ya kukaribishwa ugenini akiwa katika miji ya wenzetu huko USA anakohudhulia mkutano wa Ma-first Lady unaolenga kujadili masuala ya afya. Tupo pamoja mama tuwakilishe vyema tunakuaminia

HONGERA MZEE MALECELA

Nimekubali ya kale ni dhahabu" kuna wengine tumeshikana mikono na wengine hatujasalimiana wala kushikana mikono, lakini woote kwa pamoja ninapenda kuwashukuru kwa kushiriki kwenye hafla hii, mmeonyesha upendo kwangu. mzee Malecela tupo pamoja

Apr 20, 2009

MAMA KAZI YAKO TUNAIKUBALI

Kuna mchango wako mkubwa tu ulioufanya katika makuzi ya miji hapa nchini, tunaona sana mabadiliko ya kui improve makazi katika maeneo yasiyo pimwa ya miji na slums namna ambavyo sasa maeneo mengine yalivyobadilika ni mchango wako mama

DALA DALA ZA VIPANYA KAMA HIZI USITEGEMEE AJALI

Hii picha nimeibeba kutoka kwa mdau mkuubwa wa blog Mh sana Majid, mh watu wabunifu manake hii sijui ni double dif au singe hata sielewi.

AA BUNGE KAMA UPELE UMEPATA MKUNAJI

Kazi yako mh spika tunaiona, unajua kutumia madaraka yako vyema, unawaminya wanaotaka kujifanya wamekabidhiwa nchi kwa matumizi yao!! ninafurahishwa na namna unavyotumia vifungu pale ambapo watu wanataka kuharibu afya ya mijadala ya bunge> Tupo pamoja mzeee

NANI KAMA TANZANIA

Nani Kama Tanzania, kila kitu kinapatikana Tanzania , wanyama wazuri Tanzania , Naipenda Tanzania, nchi yangu Tanzania, nitabaki kuwa Mtanzania, nitaifia nchi yangu Tanzania, hii ni Tanzania!!!

WANANDOA MNAENDA GUEST KUFANYANI????

wanandoa mnaenda GUESTHOUSE kufanya nini??? wanandoa na wasio wanandoa ;kuna kitu kidogo kinanichanganya iweje unaishi dar esalaama then mida ya mchana mnaenda kwenye guest mnaulizwa cheti cha ndoa mnaonyesha y????kwa nini msiende majumbani kwenu......ama kuna starehe tofauti wanandugu nihabalisheni ntashukuru na mimi niikingia hukonijue sehemu ya kuanziaweekend njema jamani

TUTAZISIKIA SANA JOIN UNKHOSI WE SIZWE KWENYE REDIO NA TV KUTOKA KWA HUYU MH

namkubali sana huyu mzee kwa kupenda asili yake, kila mara ataimbisha wapenzi na mashabiki wake nyimbo za kizuru hasa zile za ukombozi! namkubali sana siyabonga nkhosi!!!

TUFANYE NINI ILI JAMII YA WAFUGAJI ISIWE NA ULE UTARATIBU WA KUHAMA HAMA?

Ndugu wanachama wa blog mbali mbali kwa miongo mingi, makabila ya wafugaji kama wamang'ati, wamasai, Wairaqwi, n.k wamefanyiwa mambo mengi ya kuwalazimisha wabadili mfumo wa maisha yao ya ufugaji wa kuhamahama na usio na tija. Mambo waliyofanyiwa ni kama yafuayo. (i) maeneo yao ya kufugia ya asili kuchukuliwa na selikari either ya kikoloni au ya uhuru na kuyafanya kuwa hifadhi za Taifa. Kwa kufanya hivyo maeneo ya kufugia yalipunguwa sana na kusababisha uhaba wa malisho (ii) Selikari wakati wa ukoloni na baada ya ukoloni zilihamasisha jamii ya wafugaji kuanza kujishugulisha na kilimo katika maeneo machache yaliyobakia ya kufugia. Ni kweli baadhi ya wafugaji wakaanza kulima katika maeneo ya kufugia. Jambo la kunote hapa ni kuwa, kwa ujumla maeneo mengi ya kufugia sio mazuri kwa kilimo hivyo hupoteza rutuba haraka na kutozalisha chakula cha kutosha. Hivyo hata wale walioamua kulima walilazimika kuendelea kufuga kwa sababu hawakuwa na uhakika wa kupata chakula cha kutosha. (iii) Pale migogoro ya wakulima na wafugaji inapotokea, wafugaji wakati wote wameonekana ndio waanzilishi wa migogoro hiyo linapokuja suala la kuchukuwa hatua tumeshuhudia wafugaji wakifukuzwa, kutozwa faini kubwa, kuporwa mifugo, au kuhamishwa bila maandalizi yoyote. Uhaba wa ardhi katika maeneo yao umesababisha wafugaji wengi kuhamia katika maeneo mengine na kujikuta katika migongano na jamii nyingine. Na migogoro inapotokea, tunawasikia baadhi ya viongozi na wenyeji wa maeneo husika wakiwataka warudi walikotoka. Njia hizi za kutatua matatizo ya wafugazi zimekuwa si endelevi kwa ustawi wa jamii za wafugaji na maendeleo ya watanzania kwa ujumla. Je wanaJF nini kifanyike ili kuboresha maisha ya wafugaji? Kama Botswana waliweza sisi ni kitu gani kimetuzuia? Tunapojadili hili, tukumbuke kuwa Tanzania ina ardhi tele ambayo inafaa kwa kilimo na kufugia mpaka tunataka kuwagawia wageni hekta 500,000. Na wengine tayari wameshajichukulia ardhi katika bonde la mto rufiji na kwenye vijiji ya Kisarawe Pia tukumbuke kuwa baadhi ya maeneo hayafai kwa kilimo cha mazao bali kwa ajili ya kufugia tu. Karibuni tujadili

MRISHO NGASSA KAKWAMA LAKINI KESHA TUTANGAZA

NGASSA PAMOJA NA KUSHINDWA, KESHA TUTANGAZA Habari nilizozipata hivi punde ni kuwa Ngassa ameshidwa kufuzu kwenye majaribio kwa nujibu wa wakala wake Yusufu Bakhresa ni kuwa ameshindwa kupita kwenye mchujo wa wachezaji wengine 14 waliokuwa wanawania nafasi 3 tu kujiunga na kikosi cha Gianfranco Zola. Hata hivyo Ngasa aliaenza majaribia hayo jumatatu iliyopita kwa kufanya mazoezi na reserve team ya West Ham United alipandinshwa siku ya Alhamisi iliyopita kufanya mazoezi na kikosi cha kwanza kinachoshiriki ligi kuu Uingereza.Hizi ni habari sa kusikitisha lakini Ngassa anapaswa asife moyo kwani wakala wako yuko kwenye mazungumzo na team ya Fulham kuona kama anaweza kupata nafasi ya kufanya majaribio na team hiyo au hata timu nyingine nchini humo.Pia afahamu kuwa amefungua njia ya soka letu kukua na kujitangaza kimataifa maana hata kipindi cha Soccer Africa cha wiki hii walimzungumzia na kumtakia kila la kheri. Usife moyo Ngassa safari ndio kwanza imeanza na umri bado unakuruhusu

Apr 8, 2009

KARIBU PAPA BARIKI MUTU YA WATU

Kaka bariki karibu sana kwenye haka ka blog. Nimefurahi kuona mdau muhimu ulioko kwenye mazingira ya maamuzi umetembelea kwenye ka site haka, lets carry on talking and talking. something will happen in future using these simple developed blogs. Ubarikiwe

AHSANTE KAKA BARIKI

Nimeona mdau wangu wa karibu kaka Bariki umejiunga kwenye kablog haka nashukuru endelea kualika wadau, labda inaweza ikawa sehemu mojawapo ya kubadilishana mawazo kama wanamipango. tupo pamoja kaka Danny

ART YA PHOTOGRAPH

Ni art ya kupiga picha! niliupenda huo mti jamii ya mndizi, sasa nikaona itakuwa vipi nikitegesha kwenye angle ya paa hilo jekundu itakuja? nikaona vyema inaweza kupendeza je waionaje picha hii

BUJAGA IZENGO KADAGO MAJINA YA KIBANTU

Namkumbuka sana Mtangazaji huyu Bujaga Izengo Kadago! siku hizi anajiita baba askofu. ni miongoni mwa watangazaji waliovuma miaka ya nyuma kwenye vyombo vya habari vya TZ alianzia Radio Tanzania, akaenda Radio One, akaenda SUA televisheni hongera kaka sasa hivi anamalizia masterz lake St AUGUSTINE UNIVERSITY ni kifaa muhimu kwenye shughuli za media. HAYA NI MAJINA YA KIBANTU -MWAMISHA MOLA DUHUU

Pichani anakuwa kama anataka kujichinja shingo au?

HUU MLANGO WA UNAUONAJE

hii ni moja ya art za kumbukumbu zilizobuniwa na watanzania wakati tukiendesha miradi ya umma wenyewe, huu ni mlango wa hotel ya MOROGORO wenyewe mnaita Morogoro Hotel, niliupenda sana mlango huu ulivyopambwa na kusanifiwa. Bila shaka mbunifu alitoka zenji ama umakondeni manake wao ndo wamebobea katika kudesign!.
ahsante designer

UKIWA NA NJAA HUCHEZI NGOMA HII

Moja ya ngoma zinazohamasisha vijana kuwa wakakamavu na wenye mbinu za kupambana ambayo huchezwa hasa kwenye maeneo yenye migomba migomba kutukuju!!! hii ni ngoma ambayo inatambulisha jamii fulani, yaani usipojua kucheza ngoma hiyo kwenye makuzi yako ya kuelekea ujana, unapofika mahala fulani ukashindwa kujumuika kucheza basi unatambulika kama Njanga!!!! sasa sijui huko kwenu mnacheza ngoma gani, au ndiyo mambo ya akina 50 cents sijui 70% au senti kumi?

LIPENENGA NGOMA INAYOHAMASISHA AMANI

Vamo vakwijulah naloli, wazee wa kinyaki wakipiga mapenenga kwenye moja ya sherehe mkoani Mbeya. Ngoma hizi ukizifuatilia ni moja ya maeneo muhimu ya kutukumbusha wapi tumetoka wapi tunakwenda na tunakwendaje, kimsingi ni kutokana na matukio ya ngoma kama hizi ndipo uhamasishaji wa masuala ya amani, ushirikiano na upendo vimekuwa vikifanyika bila mwongozo ulio rasmi. Ndiyo sababu wanyaki wanadaiwa kupendeleana sana kwenye post fulani fulani ukweli siyo kwamba wanapendeleana ila wana jali udugu, wazalendo na wapenda mashirikiano.(kwa mujibu wa utafiti-usiniulize ulifanwya wapi na nani). Hebu angalia mzee wa kwanza alivyopiga way kichwani!!!!! hii niliiona moja Dodoma kwenye makuzi yangu haijatokea tena ila Tky unazikuta za kumwaga.

Apr 7, 2009

DEAL YA AJIRA JAMANI WENYE UJUZI

Scientist gagged over quake warning 2 hours 52 mins ago Print Story An Italian scientist was reported to authorities for spreading panic after he warned a major quake would strike L'Aquila, it has emerged. Weeks before disaster struck the city and killed more than 90 people, seismologist Giacchino Giuliani had warned of an impending disaster - but his forecast was dismissed by the government which said it had no scientific foundation. Tremors were first felt in the region in mid-January and continued at regular intervals, creating mounting alarm in the medieval city. A month ago, vans with loudspeakers drove around the town telling locals to evacuate their houses after Mr Giuliani, from the National Institute of Astrophysics, predicted a large quake was on the way. However, this reportedly infuriated the local mayor. Mr Giuliani, who based his forecast on concentrations of radon gas around seismically active areas, was reported to police for "spreading alarm". He was also forced to remove his findings from the web. Earlier, a defensive Prime Minister Silvio Berlusconi gave a news conference on the quake and dodged questions about the whether his government had properly safeguarded the population in light of Mr Giuliani's warning. Mr Berlusconi said now was the time to concentrate on relief efforts and "we can discuss afterwards about the predictability of earthquakes". On March 31, Italy's Civil Protection agency held a meeting in L'Aquila of the Major Risks Committee to reassure the townspeople. A statement issued on the eve of the meeting said: "The tremors being felt by the population are part of a typical sequence ... (which is) absolutely normal in a seismic area like the one around L'Aquila." It added that the agency saw no reason for alarm but was nonetheless effecting "continuous monitoring and attention". • Email to a friendArticle SearchRelated Who ate our rhinos? Serengeti buys 32 rhinos from South Africa MUGINI JACOB in Serengeti, 6th April 2009 @ 02:52 Serengeti National Park (SENAPA) is providing special security training to game rangers as part of its preparations to import 32 black rhinos from South Africa. The training is directed by experts from the South African-based African Field Rangers Services under the coordination of Frankfurt Zoological (FZS). Tanzania National Parks (TANAPA) Director General Mr Gerald Bigurube last Friday closed the first round of the training comprising 34 participants. A total of 145 game rangers and some conservators are lined up for the training that started on February 23 and will end on July 3 this year, under the sponsorship of Grumeti Fund, an American investor’s firm which operates in Serengeti. Mr Bigurube described the training as important as far as the security of wild animals and safety of game rangers was concerned in the park. “This training is important and by putting what you have learnt into practice you will be safe from enemies”, Mr Bigurube said thanking Grumeti Fund for supporting the programme. SENAPA chief park warden Mr Martin Loibooki said the game rangers were mostly trained to carry out patrols on foot rather using vehicles as it been the case in the past. They are also trained on proper weapon handling, fire and movement, bush lane shooting, patrol tactics and black rhino monitoring skills, among other things, according to Mr Loibooki. Key conversation stakeholders based in the western Serengeti like Grumet Reserves, Ikorongo game reserve and Bunda based anti-poaching special unit have also been involved in the progamme. “The black rhinos will be brought in our park but they might get out of the park and we expect our colleagues to help us ”, the SENAPA chief park warden said. Mr Loibooki hinted that the park would import a total of 32 black rhinos from South Africa by November this year. Purchase of back rhinos from South Africa is a five-year project that is estimated to cots 4.5 million US dollars; according to the FZS African programme chief, Dr Markus Borner. Dr Borner also lauded TANAPA’s conservation efforts. “TANAPA has become one of the most efficient conservation organization in Africa and it has set an example. We are here (Serengeti) to protect this area as national and international heritage”, the head of FZS African Regional Office said at the same occasion. The TANAPA DG also urged game rangers in the park to be patriotic when fulfilling their obligations in the park, promising that the TANAPA would do everything possible to improve their welfare. “Being patriotic does not mean your welfare will not be improved. Once the current economic crisis is resolved, we’ll improve your welfare”, he said. TANAPA will also continue giving women top priority on employment because they have been doing well, according to Mr Bigurube. Two female game rangers completed the first round of the training on Friday. Question: Who ate our rhinos? and why vifaru vya maskini hawazai? • Email to a friendArticle SearchRelated BAWATA, NYF Vs Haki za Kiraia Serikali iliifuta BAWATA kwa kigezo kwamba inajihusisha na siasa. Ikaifuta NYF kwa sababu ya kujihusisha na siasa, ingawa miaka michache baadaye serikali ikatoa sababu tofauti katika maelezo bungeni. Hukumu ya kesi hii inapaswa kujenga misingi ya kuzuia taasisi nyingine kufutwa baadaye zinapoonekana kwenda kinyume na matakwa ya watawala. Ni wakati sasa wa kuitaka serikali kufuta vifungu vya sheria vilivyoelezwa na mahakama. Serikali kuilipa BAWATA milioni 20/-(Aprili 2009) na Happiness Katabazi MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeiamuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kulipa fidia ya sh milioni 20 Baraza la Wanawake Tanzania (BAWATA). Hukumu hiyo ilitolewa juzi na jopo la majaji watatu wa mahakama hiyo, Amir Manento (amestaafu), Jaji Laurian Kalegeya (Mahakama ya Rufani sasa) na Jaji Justus Mlay na kusomwa kwa niada yao na Msajili wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Saul Kinemela. Jaji Manento alisema Serikali inapaswa kuilipa BAWATA kiasi hicho cha fedha kwa sababu amri yake ya kuzuia shughuli za baraza hilo, ilivunja katiba ya nchini. Sambamba na hilo, mahakama hiyo imesema vifungu 2(2), 6, 9(a)(b)(iii), 12 na 13(2) vya Sheria ya Asasi za Kijamii ambavyo sasa vinasomeka kifungu cha 2(2),814,17 na 19(2) kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2002, vinavunja ibara ya 15(1), 18 na 20 ya Katiba ya Nchi, hivyo imeitaka serikali kuvifanyia marekebisho ndani ya mwaka mmoja kuanzia jana. Jaji Manento alisema jopo hilo limefikia uamuzi huo baada ya serikali kusimamisha shughuli za BAWATA ili taasisi hiyo isifanye shughuli zake; uamuzi uliotolewa Septemba 17 mwaka 1996 na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani, F. Mushy kwamba Baraza hilo lisifanye shughuli zake. Uamuzi huo ulikuwa batili kwa sababu ulivunja Katiba ya nchini. Walalamikaji katika kesi hiyo ya kikatiba namba 27/1997, ni BAWATA, Profesa Anna Tibaijuka, Sherbanu Kabisa, Rose Mushi, Mary Marealle na Salma Kauli, ambao walikuwa wakitetewa na Profesa Issa Shivji dhidi ya Msajili wa Asasi za Kijamii, Waziri wa Mambo ya Ndani, Ali Ameir Mohamed na Mwanasheria Mkuu wa Serikali. “Katiba ya nchi ni sheria mama na endapo kuna sheria yoyote nchini inakinzana na katiba, sheria hiyo ni batili, hivyo uamuzi wa serikali wa kusimamisha shughuli za BAWATA ulikuwa batili. “Kwa kuwa jopo hili limeutangaza uamuzi huo ni batili, na kwa kuwa BAWATA ilisajiliwa kwa misingi ya kufuata sheria, tunaiamuru serikali iwalipe walalamikaji sh milioni 20, ikiwa ni usumbufu na gharama za uendeshaji kesi, kwani kwa kipindi chote hicho asasi hiyo ilikuwa imesimama kufanya shughuli zake,” alisema Jaji Manento. Aidha Jaji Manento alisema mahakama hiyo imetamka kuwa vifungu 2(2), 6, 9(a)(b)(iii), 12 na 13(2) vya Sheria ya Asasi za Kijamii ambavyo sasa vinasomeka kifungu cha 2(2),814,17 na 19(2) kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2002, vinavunja ibara ya 13(6), 18 na 20 ya katiba ya nchi, hivyo imeitaka serikali kuvifanyia marekebisho ndani ya mwaka mmoja tangu kutolewa kwa hukumu hiyo. Hata hivyo, alisema upande wa serikali katika kesi hiyo umeshindwa kuthibitisha madai yake kwamba BAWATA ilikuwa ikiendeshwa kama chama cha siasa. Kwa mujibu wa hati ya madai, inaonyesha aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Mushy, Septemba 17 mwaka 1996, aliamuru kusimamishwa kwa shughuli za baraza hilo kwa madai kuwa lilikuwa likiendeshwa kama chama cha siasa, katiba yake haikupitishwa na mkutano wa wanawake wote/mkutano mkuu wa wanawake uliopitisha azimio la kuiunda na kwamba badala ya kuandaa na kuongoza wanawake kijamii na kiuchumi, lilikuwa linajiingiza kwenye siasa. Mushy aliagiza BAWATA kuendelea kufungiwa hadi baada ya kuitisha mkutano mkuu na kuchagua viongozi wake, katiba ya baraza kupitishwa na wanawake wote na mfumo wake uwe umebadilishwa kutoka ule unaofanana na chama cha siasa na kuwa wa uratibu wa vikundi vya wanawake kwa ajili ya maendeleo, na kwamba mfumo usifanane na ule wa ngazi za utawala. Hata hivyo, Mwenyekiti wa Baraza hilo, Profesa Tibaijuka, alieleza tayari walishachaguliwa kwa mujibu wa katika na kwamba BAWATA si chama cha siasa. BAWATA ilisajiliwa Mei 16, mwaka 1995 na kupewa hati Na. SO 8404 chini ya Sheria ya Asasi ya Jamii ya mwaka 2002. Serikali yatetea kufutwa kwa ‘National Youth Forum’ (April 2007) JIMBO LA KIGOMA KASKAZINI na Mwandishi Wetu SERIKALI imesema kuwa uamuzi wa kufutwa kwa National Youth Forum ulikuwa sahihi kwa kuwa walishindwa kujidhibitisha. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana, Dk. Emmanuel Nchimbi, wakati akijibu swali la Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), Zitto Kabwe. Katika swali lake la msingi Kabwe alitaka kujua sababu za serikali kuamua kuifuta asasi ya National Youth Forum na lini serikali itaacha kuzifuta asasi kama hizo na kwamba serikali haioni kuwa ufutaji wa asasi hizo ni ukiukwaji wa demokrasia. Akijibu maswali hayo Nchimbi alisema muungano wa wadhamini wa National Youth Forum ulifutwa kwa kuwa ulishindwa kuthibitisha taswira waliyojiwasilisha nayo kwa umma kuwa wao ni taasisi ya vijana ya taifa. Amesema msimamizi mkuu wa wadhamini baada ya kugundua kasoro hiyo inayodaiwa kuwa ni ya msingi, alitumia mamlaka yake chini ya sheria ya muungano wa wadhamini na kuifuta taasisi hiyo. Ameongeza kuwa serikali haina nia ya kukiuka misingi ya demokrasia ya uhuru wa kujiunga, ila inasisitiza uundaji wa asasi hizo ni muhimu zikaambatana na wajibu wa asasi husika na hasa kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu zinazounda asasi husika. Hata hivyo, amesema serikali inatambua umuhimu na mchango unaotolewa na asasi zisizo za kiserikali na hasa zinapofuata na kuzingatia sheria. • Email to a friendArticle SearchRelated Mzee Wilbar Smith asema Afrika inarudi ilikotoka-kabla ya wazungu kuja! Wilbur Smith ni mmoja wa waandishi maarufu duniani. Mpaka leo hii alikuwa ameandika vitabu 31 maarufu kama vile When the Lion Feeds, The River God na The Triumph of the Sun, ambacho kimetafsiriwa katika lugha 26. Vitabu vyote hivi vina mandhari ya bara la Afrika na mzee huyu ambae alizaliwa Zambia miaka 33 iliopita anapenda kuandika kuhusu bara hilo kuzingatia kwamba amewahi kuwa mshauri wa masuala ya kodi katika serikali ya Zambia. Leo jioni hii mzee Smith amezindua kitabu kipya pale Waterstones, duka maarufu la vitabu lililopo sehemu iitwayo Piccadilly mjini London.Mimi nikiwa mmoja wa wapenzi wa vitabu nilipata nafasi ya kwenda kuona kitabu ambacho kinaitwa Assegai. Tafsiri sahihi ya assegai ni mkuki na kitabu hiki kinahusu enzi zile za ukoloni ambapo askari wa zamani Leon Courtney ambae amekuwa muwindaji anaingia urafiki na mfanyabiashara tajiri kutoka Ujerumani bwana Count Otto Von Meerbach ambae ana kiwanda cha kutengeneza magari na ndege. Lakini baadae baba mkubwa wa Leon anaeitwa Penrod Ballantyne ambae ni kamanda wa jeshi la Afrika Mashariki anamshauri Leon kumpeleleza Count Otto Von Meerbach na kumpelekea habari. Badala yake Leon anampenda mke wa Count Otto Von Meerbach aitwae Eva Von Wellberg. Kabla ya vita kuu ya kwanza ya dunia Leon anashauriwa na Count Von Meerbach kuandaa uasi dhidi ya jeshi la Uingereza la Afrika Mashariki kutoka kwa upande wa Ujerumani kwa kuwashirikisha wanajeshi wa zamani wa makaburu walioshiriki vita maarufu kama "Boer War" nchini Afrika Kusini. Leon baadae anaachwa kwenye mataa na tena anamwona Eva Von Wellberg akirudi Afrika na mtu mwingine na Leon anatafuta kujua ukweli kuhusu bibie Eva Von Wellberg kwamba ni nani na amejificha nyuma na sanamu kwa minajili gani. Sasa mzee Smith akanishanga kidogo kwa kauli yake kuhusu afrika pale alipokuwa akijibu baadhi ya maswali na moja ya maswali hayo lilikuwa swali kwamba je yeye ana imani na bara hili ambalo yeye amekua na kuishi humo? Mzee huyu akajibu kwamba Ulaya Magharibi inavyolichukulia bara la Afrika si vile Waafrika wenyewe wanavyolichukulia bara lao kwa maana ya kuwa bara lenye neema na mambo yote mazuri na kwamba waafrika wanafaidi matunda ya kuwa na bara hilo. Akaendelea kwa kusema kwamba, waafrika wataendela kulishughulikia bara lao kuelekea mwisho wake na kulirudisha bara hilo kule lilikotoka yaani kabla ya wazungu hawajatia mguu barani humo kwa maana kwamba kutakuwa na mifumo ya ukabila zaidi, udikteta zaidi kuliko mifumo ya kidemokrasia na akamalizia kwa kusema kwamba hio ndo hali ambayo waafrika wanaridhika nayo. Ninasikitika sana, kwa sababu nikiangalia habari zote zihusuzo ufisadi, rushwa na midubwana mingine nikabakia natafuta majibu. Kwa wale walioko Marekani na Canada kitabu hicho kitachapishwa tarehe 12 April, Norway tarehe 20 May,Denmark tarehe 25 June, na Netherlands tarehe30 July 2009. • Email to a friendArticle SearchRelated Kenya To Bid To Host 2016 Africa Nations Cup Wakati sisi tukiendelea sisi tukiendela kubishana habari za kina Boban/Maksimo watani wetu wa jadi wanaomba kuandaa kombe la mataifa ya Africa 2016 According to secretary general of Football Kenya (FK) Limited, Sammy Obingo, the East African nation will put in a bid to stage Africa's biggest football competition for the first time. "We are discussing with the Kenya Government on the hosting of 2016 Nations Cup," announced Obingo. In 1996, Kenya was slated to host the biennial tournament only to withdraw at the last minute, citing poor finances. South Africa then replaced the Kenyans as host. However, Obingo said he is very optimistic that Kenya will win the right to host the 16-team competition because the country has been able to generate great financial support from sponsors that will support such a competition now. Angola will host the 2010 Nations Cup while Equatorial Guinea and Gabon play host to the 2012 edition. Libya will then stage the tournament for the second time in 2014 • Email to a friendArticle SearchRelated 8 Vacant Posts for ICT, Meteorology, and Water Experts - SADC EUROPEAN DEVELOPMENT FU RE: SADC EUROPEAN DEVELOPMENT FUND: REGIONAL INDICATIVE PROGRAMME Sub: Vacant Position for ICT, Meteorology, and Water Experts in Africa GOPA Worldwide Consultant has been shortlisted for EU-funded project and is in the final stages for the Regional Indicative Programme study in SADC countries. Currently is recruiting experts for the subject above. So far almost all positions are filled. However, there are in total 8 positions to be staffed and the ones of the Water, ICT, and Meteorology Experts are still vacant. In this regard I would encourage whoever in Africa possesses the qualification we looking for apply for this very paying job. Candidates should definitely have regional experience in several SADC countries with the planning and implementation of infrastructure projects/strategies. This includes physical infrastructure (water supply networks, water treatment facilities, etc. / ICT networks, etc. / weather stations, etc.) as well as institutional and regulative aspects. The general idea is to integrate national sector plans into an overall mid-/long-term strategy in order to achieve the most appropriate investments to achieve improved regional networks. DRC, Angola and Madagascar should be focused. Each position requires an input of 55 working days (11 calendar weeks) split into 2-3 missions over a total project period of 9 months starting in 08/2009 (planned). The major input will probably have to be provided in September/October 2009. The profiles are as follows: Qualifications and skills  University degree in relevant sector  At least 15 years of overall professional experience General professional experience  10 years of relevant professional experience  Fluent in English  Working knowledge of basic computer software Specific professional experience  Extensive experience in relevant sector  Experience in project analysis and development  Working experience in African and/or other developing countries, preferably in the Southern African region  Experience in international cooperation programmes, preferably EDF funded  Good report writing skills Interested candidates who meet the above criteria please contact me for guidance on how to apply these positions via my mobile +44 7551 479 114. I will provide a detailed terms of reference to interested eligible candidates too. However, if you will not need prior information on how you can apply just forward your CV and specify their financial expectations (€/working day) to the addresses below: Moritz KEIM Project Coordinator Infrastructure Development Department Phone: +49 (0) 6172 930 563 Fax: +49 (0) 6172 930 550 Mail: http://us.mc01g.mail.yahoo.com/mc/compose?to=moritz.keim@gopa.de Regards Bm21 +44 7551 479 114 • Email to a friendArticle SearchRelated RE: 8 Vacant Posts for ICT, Meteorology, and Water Experts - SADC EUROPEAN DEVELOPMEN RE: 8 Vacant Posts for ICT, Meteorology, and Water Experts - SADC EUROPEAN DEVELOPMENT FUND RE: SADC EUROPEAN DEVELOPMENT FUND: REGIONAL INDICATIVE PROGRAMME Sub: Vacant Position for ICT, Meteorology, and Water Experts in Africa GOPA Worldwide Consultant has been shortlisted for EU-funded project and is in the final stages for the Regional Indicative Programme study in SADC countries. Currently is recruiting experts for the subject above. So far almost all positions are filled. However, there are in total 8 positions to be staffed and the ones of the Water, ICT, and Meteorology Experts are still vacant. In this regard I would encourage whoever in Africa possesses the qualification we looking for apply for this very paying job. Candidates should definitely have regional experience in several SADC countries with the planning and implementation of infrastructure projects/strategies. This includes physical infrastructure (water supply networks, water treatment facilities, etc. / ICT networks, etc. / weather stations, etc.) as well as institutional and regulative aspects. The general idea is to integrate national sector plans into an overall mid-/long-term strategy in order to achieve the most appropriate investments to achieve improved regional networks. DRC, Angola and Madagascar should be focused. Each position requires an input of 55 working days (11 calendar weeks) split into 2-3 missions over a total project period of 9 months starting in 08/2009 (planned). The major input will probably have to be provided in September/October 2009. The profiles are as follows: Qualifications and skills  University degree in relevant sector  At least 15 years of overall professional experience General professional experience  10 years of relevant professional experience  Fluent in English  Working knowledge of basic computer software Specific professional experience  Extensive experience in relevant sector  Experience in project analysis and development  Working experience in African and/or other developing countries, preferably in the Southern African region  Experience in international cooperation programmes, preferably EDF funded  Good report writing skills Interested candidates who meet the above criteria please contact me for guidance on how to apply these positions via my mobile +44 7551 479 114. I will provide a detailed terms of reference to interested eligible candidates too. However, if you will not need prior information on how you can apply just forward your CV and specify their financial expectations (€/working day) to the addresses below: Moritz KEIM Project Coordinator Infrastructure Development Department Phone: +49 (0) 6172 930 563 Fax: +49 (0) 6172 930 550 Mail: http://us.mc01g.mail.yahoo.com/mc/compose?to=moritz.keim@gopa.de Regards

MTU AMEULIZA MSAIDIENI

Vyandarua vyenye dawa Nasikia dawa inayowekwa kwenye vyandarua ni DDT. Je hii dawa haiwezi kutumika kuua mbu wote wanaoeneza Malaria? Kuna agenda yoyote ya siri ya kushindwa kutokomeza Malaria? Tafadhali tujadili hili!

ALAN RODGERS IS NO MORE

Alan Rodgers in no more Dr. Alan Rodgers, has died in the morning of Tuesday, March 31, 2009 in Milpak Hospital Johannesburg. He will be buried on 8th at Nairobi Lang'ata Cemetery!May GOD

MAPOZI AMA MAPOUDA????

Jamani najuuuuta kukufahamu!!!!!!!!!! mbona anaonekana kama joti vile? au, mmmmmh mapauda hayo!!! ama kweli watu wamejaaliwa kuwa wanene hasa kwenye vifuani (kwa kikinga).

Ulimbwende too

Tupo pamoja mama ni fully kujiachia, sawa kabisa hata huku tukuyu tunakula sana maparachichi ili tulingane naweye!!!!

Mambo ya urembo na ulimbwende

MAMBO YA FWASHENI!! Kwetu sisi watu wa dunia ya tatu hii fani pia inaweza kututoa manake wapo wengi wanaoweza kushiriki au mnasemaje wadau

jamii forum

Very Important: You need to read this! ONLY Registered members are requested to follow this! JamiiForums.com uses WYSIWYG. When posting messages to the forums or other members, there are three interface types available to you. The simplest of these is a simple text box, while the last is a fully-fledged WYSIWYG editor, which allows you to format your text as you want it and see the results immediately. Depending upon the capabilities of your web browser, you may not be able to use all of these options. If you experience problems when posting messages, try switching to a different interface type. To use WYSIWYG, please follow the following instructions as accompanied by images: Below JF logo, please click on User CP

KAKAO ZA KUTUKUJU NA KYELA

Unalijua zao linaloitwa KAKAO, Kyela na Rungwe wanakula madolali manake zao hili bwana unaweza kutengeneza ugimbi na vinywaji na vitu vya kuunganishia kwenye break fast. huyu bwana alikuwa mchezaji wa simba miaka ya nyuma ameamua kurudi kijijini KU TUKUJU kukamua kakao, maisha bwana!

MZEE NA MKAKATI WA KUKUZA UCHUMI NA KUONDOA UMASKINI

Mkakati wa kukuza uchumi na kuondoa umaskini -MKUKUTA na ule mwingine sijui kurasimisha biashara na nanihii kwa wanyonge MKURABITA vinampitia kweli? manake ana kapu tupu halafu anasubiri neema!!!! jamani kazi ipo lakini matumaini yapo manake kila kukicha afadhali ya keshokutwa inakuja. Tunaimani na JK mambo yatakwenda njema uongo?

NGURUWE ANAPOGONGA ULABU

Jamani hawa nguruwe namna gani manake wanaonekana wazi kuwa ni walevi wa kupindukia, Onyo usile kitimoto kutoka maeneo ya bonde la Kamsamba kwani kITI MOTO kina alcohol 67.9 % + VAT 20% and dont try this at home!!!!

SHAKA ZURU RUDI UGANDA KAKA

Huyu bwana kwao Uganda lakini ndiyo ameng'ang'ania Marekani, kaka rudi ujenge uchumi wa nchi yenu mbona mnapenda kukaa ugenini sana! keep promise, africa arive! stay tuned, yote maneno yake kwenye STRAIGHT TALK ON AFRICA

YOU MARRRIED WOMEN DONT BRAME

Poleni sana madereva,manake wake zenu wanawatuhumu kuwa mnachelewa safari zenu kwa kuwa mnakuwa na vimwana, lakini hali ya msongamano kama huu mpakani Tunduma mara nyingine inawasababishia lawama kwenye ndoa. Napendekeza siku mchukue mama mwambie twende zao kongo atakoma mwenyewe akifika border mnachukua wiki tatu kusubiria msongamano upungue, siku nyingine hatakulaumu tena!!!!!!!najutaaaa kuwa dereva !

BORDER YA TUNDUMA

OOHPS this is Tunduma,one of the busy-look township, actually the other side of border seem to depend on Tunduma,Tanzania side in all domestic and social services. almost 90% of income acrued by business people in Tunduma centre, is traped from Zambian customers.

ULISHASIKIA MSONGAMANO TUNDUMA

Hii ni kitu cha kawaida kwa mji waTunduma kila siku msongamano wa magari yanayosubiri kukamilisha taratibu za kuvuka upande wa pili, Zambia wanakusudia kufunga mtambo wa kukagua magari unaochukua dakika mbili hadi tano kwa kila gari linalopita, watakuwa wametuacha mbali,kwa sasa teknolojia hiyo inatumika kwenye border za zambia na Zimbabwe na imeonyesha ufanisi mkubwa.

Show za bure wakati mtu anahitaji sabuni?

Kaka una kazi nzito ya kuoga baadaye!!! kazi hii ya show hutegemea sana watu wanaokuja kukutuza kwa sababu wengi wa wacheza shookama hawa ni wa kujitolea ama tunaita amarture!! sasa huyu bwana akikutana na wabahili wa Tunduma ambao hawatoi kitu inakuwaje? pole ndugu yangu manake lazima uoge kwa komoa kama siyo foma limao!!!

Nkwenzulu Tweve mtu wa watu

Mzee Nkwenzulu Tweve aliyeshika grasi na kidevu, ni miongoni mwa watanzania walioitumikia nchi hii kwa uaminifu enzi hizo akiwa mkuu wa madereva Ikulu enzi za mwalimu. sasa ni mjasiliamali anayeendesha shughuli za hoteli mjini Mbeya, hapa akiwa na wenye mahoteli wengine mkoani Mbeya
Kutoka kushoto ni Bwana Saliwe, mmiliki wa hoteli ya high class mjini Tunduma, akifuatiwa na mkewe bi Saliwe, Mkuu wa idara ya Usalama wa taifa wilayani Mbozi bwana Magani, Mwenyekiti wa wenye mahoteli Mkoani Mbeya bwana Vamponji Mahenge, Mkuu wa wilaya Mbozi Bi Halima Kihemba, Mkuu wa wilaya ya Nakonde nchini Zambia na mpambe wake wakati wa uzinduzi hoteli ya High Class

HOTEL HIGH CLASS TUNDUMA

HII ndo hotel ya HIGH CLASS inayomilikiwa na jamaa mmoja anaitwa Sanga kimsingi tunampongeza mjasiliamali huyu kwa kuupendezesha mji wa Tunduma na kuwa kivutio kwa wageni wanaoingia bongo kutokea upande wa kusini.

ULINZI WA MAKAMPUNI BINAFSI VIPI?

Kampuni za ulinzi zimeongezeka, kila kukicha linaibuka kampuni jipya kweli kazi wanazozifanya haziongezei uhalifu??? hapa ni kikosi kingine kilichozinduliwa wakati wa uzinduzi wa hoteli ya HIGH CLASS TUNDUMA

UJIRANI MWEMA NA ZAMBIA

Mkuu wa wilaya ya Mbozi Bi Halima Kihemba(amehamia Kibaha) akiteta jambo na mkuu wa wilaya ya Nakonde(jina nimemsahau) wakati wa uzinduzi wa hoteli ya mkinga mmoja pale Tunduma HIGH CLASS HOTEL .Hii yote ni katika kuweka masuala ya mahusiano front au siyo

MAZINGIRA MAZURI KVUTIO CHA WAGENI

Usije jilaumu eti wageni hawakutembelei!! fikiria mazingira kama haya kweli wageni watashindwa kumiminika kwako, mikosi mingine mnajitia wenyewe, mtu umejenga bonge la njenge halafu unashindwa kupanda maua wewe vipi???

NAMSHUKURU DOGO ALITUTOA MKOSI

Namshukuru dogo kwa kututoa mkosi ukoo mzima vinginevyo labda tungekufa hakuna aliyenunua gari!!!! ila mmmh gari lenyewe lilikuwa spana mkononi, hivyo hivyo mbele kwa mbele si watasema ukoo wa Tweve wamenunua gari???

WILAYA YA MBOZI INAHITAJI MISAADA ZAIDI

NI Ukweli usiofichika kuwa wilaya ya Mbozi imezidiwa na mzigo wa tatizo la watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu, hii inatokana na vifo vingi vya UKIMWI miongoni mwa wazazi, jukumu la malezi sasa limetupwa kwa vikongwe, jamani tunahitaji mikono yenu inyoshwe kwa watoto hawa.

ELIMU YA URAIA NI SEHEMU MUHIMU PIA

Mkuu wa shule ya VWAWA wakati huo bwana Mbilinyi akimwaga lugha kwenye mkutano wa kukusanya maoni ya wananchi(wanafunzi) juu ya kuwepo shirikisho la Afrika mashariki.

KAZI YA KUWEZESHA MAENDELEO VIJIJINI NGUMU

Wataalamu wa shirika la ADP Mbozi wakiwa katika moja ya harakati za uwezeshaji katika kijiji cha MYUNGA, kwa mbali pembeni linaonekana toroli linalosaidia katika harakati za usafirishaji na uchukuzi, hizi ni hatua katika kuleta ufanisi wa kazi vijijini.

MALEZI MAZURI HUANZIA UTOTONI

Jamani nani asingependa mtoto wake apendeze hivi? nafikiri ni jambo la msingi kwa wazazi kuweka kipaumbele kwanza kumpendezesha mtoto, manake tafsiri ya maisha unayoishi wewe na mkeo nyumbani watu huipata kutokana na mwonekano wa mtoto wako!! Hongera rafiki yangu Siwingwa kwa malezi mazuri