Adverts

Apr 7, 2009

UJIRANI MWEMA NA ZAMBIA

Mkuu wa wilaya ya Mbozi Bi Halima Kihemba(amehamia Kibaha) akiteta jambo na mkuu wa wilaya ya Nakonde(jina nimemsahau) wakati wa uzinduzi wa hoteli ya mkinga mmoja pale Tunduma HIGH CLASS HOTEL .Hii yote ni katika kuweka masuala ya mahusiano front au siyo