Adverts

Apr 7, 2009

WILAYA YA MBOZI INAHITAJI MISAADA ZAIDI

NI Ukweli usiofichika kuwa wilaya ya Mbozi imezidiwa na mzigo wa tatizo la watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu, hii inatokana na vifo vingi vya UKIMWI miongoni mwa wazazi, jukumu la malezi sasa limetupwa kwa vikongwe, jamani tunahitaji mikono yenu inyoshwe kwa watoto hawa.