Adverts

Sep 29, 2010

Enzi za Mwalimu tulikuwa tunavaa hivi

Yanini malumbano! yanini maneno!!! najiweka pembeni kuepusha msongamano!!!! hizi ndizo nyimbo za siku hizi enzi zile kwa kiatu hiki usingeweza kucheza nyimbo zenu za vidole juu mara umeshika suruali sehemu za siri  mara oooh yoyo eyo eyooo!!! enzi za mwalimu bwana unamkuta mtu amevaa slimu na kibwanga aka fundi malizia kitambaa changu huko chini na juu afro ama way!!!! au sikuwepo