Adverts

Sep 29, 2010

HIII NDIYO HAZINA YA UTALII WA SILI WILAYA YA MBOZI

 Unyayo wa mtu wa kale kwenye jiwe  kubwa wenyewe wanaita jabari katika kijiji cha Nkangamo wilayani Mbozi, hizi zote ni hela tu!!!!!

Mdau wa Blog Bwana Mwakitwange akijaribu kudocument akina mama wanaotumia jabari lenye unyayo wa binadamu wa kale, kuanikia mazao yao katika kijiji cha Nkangamo