Adverts

Sep 29, 2010

MDAU ANAPOUNGANA NA MWANAYE KUKUMBUKA SIKU YA KUZALIWA

 Ni binti wa mdau wa blog hii bwana Mtoni, yeye anaitwa Irene anasema hakuna kulala mpaka hii blog ifahamike ndani na nje ya Bongo manake vinginevyo sauti zetu vijijini hazita sikika!!
Haya baba Pokea Keki kuashiria kuwa hata huku vijijini tunamudu kufanikisha matukio kama haya. Ilikuwa wakati wa kuadhimisha miaka  mitatu ya Binti Mtoni au yeye mwenyewe anaitwa Irene.