Adverts

Sep 30, 2010

MUNGAI ATINGA MAHAKAMANI

Leo mchana katika mahakama ya Hakimu mkazi Iringa, mzee Mungai alipanda kizimbani kujibu tuhuma za Rushwa wakati wa mchakato wa uchaguzi ndani ya chama cha mapinduzi, hapa akitoka nje ya mahakamani. kesi yake imesogezwa mbele hadi October 15 mwaka huu. Picha kwa hisani ya Godwinfrancis.blogspot.com