Adverts

Sep 30, 2010

MZEE RAMADHANI ALLY ASTAAFU SAUTI YA UJERUMANI

Watangazaji wa sauti ya Ujerumani kuanzia kushoto ni Sekioni Kitojo,Ramadhan Ally ambaye amestaafu,Abdul Mtulya na Aboubakary Liongo wakiwa wamepozi kabla ya party ya kukata na mungu iliyofanyika kumuaga mzee Ramadhan Ally ambaye amestaafu utangazaji Deutchwelle baada ya kutumikia miaka 40 kila lakheri mzee!. Picha kwa hisani ya Mdau Michuzi