Adverts

Sep 29, 2010

MZIGO UKIZIDI HUWA TUNABEMBEA

Huyu bwana anaonekana wazi hakula asubuhi kabla ya kuingia kwenye michakato ya kusaka noti, baada ya kuzidiwa na uzito wa mkokoteni aliamua kuomba msaada kwenye tuta eneo la Black Market Tunduma, hii ilikuwa jana asubuhi.