Adverts

Sep 29, 2010

OOH KIONGOZI NATAMBUA UWEPO WAKO

Ndivyo anavyoonekana kuzungumza Bwana Mwantona ambaye katika mazingira yetu ya kazi ni mtu mhimu sana hasa kwenye kipengere cha uwezeshaji! manake ili uende kijijini unahitaji mkono wa DT afanye kazi yake then inakuwa rahisi eye to eye contact na wananchi kisha mkafanya mambo yenu ya uragbishi na ujasilishaji na uchakachuaji!!!!!!