Adverts

Sep 30, 2010

TUKUGHULISYA INDISI--- ZOTE MIA

WAKAZI  wa kijiji cha Kiwira wilayani Rungwe wakifanyiana taiming kwenye kuuza ndizi baada ya wadau wa blog kupack mahala ! ndizi katika eneo hili huuzwa shilingi Mia moja kwa ungo kama zinavyoonekana!!!!!! mwee vijijini kuzuri chakula buuuurereeeee!!!!!!!!!