Adverts

Sep 30, 2010

UNAKUMBUKA ENZI ZA MH SIMBASA ELIAKIMU BUNGENI

Aliyevaa Kapelo ya CCM mwanzoni ndiye aliyewahi kutikisa bunge miaka ya nyuma wakati akisimamia kamati ya Maadili na haki za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na huyo si mwingine ni ELIAKIMU SIMPASA sasa ni mwananchi wa kawaida tunakaa naye kwenye viti vya nyuma!!!