Adverts

Sep 29, 2010

WAHESHIMIWA WANAPOPEANA MSIMAMO WA TUKAZUNGUMZE NINI BUNGENI

Mh Mwakyembe (Kyela MP) anaonekana akiteta jambo na Mh Zambi (Mbozi Mashariki Mp) kama wapo kwenye group discussion vile kama tungekuwa kwenye mazingira ya Vyuo. Hii ilikuwa wakati wa uzinduzi wa kituo cha kulelea wato walio katika mazingira hatarishi cha Lucy Mwandosya huko Lufilyo Rungwe.