Adverts

Sep 30, 2010

ZEEE MAPOREJI!!!! KIJIJINI WATOTO WANATAKATA BWANA!!!!!

Yaa hawa ni wakazi watarajiwa wa kijiji cha Kamsamba walikutwa na Camera yangu wakiwa wanajiroad uji wa mtama kwenye uwanja wa wazi nje ya nyumba yao hii ni sehemu ya kawaida kwa maisha ya vijijini sijui huko kwenu mjini?