Adverts

Oct 25, 2010

CHILEWA AKIFANYA MAJARIBIO KWENYE MOJA YA MAGARI YA TAKA

Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Mbozi Levison Chillewa akijaribu kuwasha moja ya magari yaliyotolewa kusaidia shughuli za usafi katika mji mdogo wa Tunduma ambao upo mpakani mwa Tanzania na Zambia.