Adverts

Oct 25, 2010

Christian naye ana matumaini na Tanzania ijayo

Ingawa mama yake anaonekana kama anaelekea kukata tamaa kwa jinsi ninavyoendesha serikali ya familia yangu  lakini kijana wangu Christian anaonekana ana matumaini makubwa na serikali yangu baba yake! Nakutakia maisha marefu na yenye busara na neema mwanangu Christian