Adverts

Oct 4, 2010

HII SIYO SEKONDARI YA KATA, NI PRIMARY MOJAWAPO KATI YA NYINGI ZILIZOMO MBOZI

 Jengo la shule ya msingi mojawapo iliyopo wilayani Mbozi, kwa ujumla wilaya ya Mbozi inapokuja kwenye ujenzi wa shule zake za msingi kwakweli inafagiliwa kwa namna majengo yake yalivyosimama! DED ujiko ujiko!!!!!!!
indaba2010