Adverts

Oct 4, 2010

KIJIJINI KWETU WANAFUNZI WANA NJIA NYINGI ZA KUJIFUNZA JIOGRAFIA

Kama huko mjini mnatumia ramani za Ukutani, siye huku tupo kivitendo zaidi! ramani zetu zipo physically yaani mwanafunzi anashiriki kuiandaa hadi kuitumia! si unajua soda nazo za shida hivyo mnatangaziwa kwesho kila mtu aje na visoda(vizibo) kumi sawa sawa!!!!!  basi baada ya kuleta inakuwa raw material ya ujenzi wa ramani ya africa mashariki.(indaba2010)