Adverts

Oct 25, 2010

MAANDALIZI YA WEKA TUNDUMA SAFI YAANZA

Kampeni kubwa ya kuufanya mji wa Tunduma kuwa safi ikiwa ni harakati za kuiondoa aibu kwenye macho ya nchi jirani kutokana na hali ya uchafu wa mji huo hapo awali- sasa imepamba moto baada ya halmashauri mama ya wilaya ya Mbozi kuamua kuusaidia mji mdogo wa Tunduma magari  mapya mawili ya kuzoa taka yaliyonunuliwa kwa zaidi ya milion 150. Huu ni mfano mzuri kwa miji mingine katika kuhakikisha suala ya la usafi wa mazingira kuwa moja ya maeneo ya kimkakati. Tunduma ingawa ni sehemu ya eneo la wilaua ya Mbozi bado shughuli zake za kiuchumi kwa sehemu kubwa zinachangia mapato ya moja kwa moja kwenye serikali kuu (HAZINA) lakini  wananchi wanahoji kiasi gani kinarejeshwa kwa uhalibifu wa mazingira unaofanywa na shughuli hizo kwenye eneo hilo kwa ujumla? manake maambukizi ya HIV kwa sehemu kubwa yanachangiwa na shughuli hizo za border post  any way tupo kwenye majadiliano karibuni