Adverts

Oct 28, 2010

MPUNGA HUU UNALIWA NA WAZAMBIA KULIKO WABONGO

shehena ya mpunga ikishushwa  mashineni katika eneo la Karoleni Tunduma tayari kwaajili ya biashara ya mchele kwa wazambia ambao ndiyo wateja wakubwa katika eneo hilo^mpakani.