Adverts

Oct 28, 2010

Mtaa wa Kongo katika mji wa Tunduma

Wadau wa blog hii wakiwa katika mitaa ya border ya Tunduma kufanya shopping kabla ya siku ya uchaguzi manake kwa eneo la Tunduma huwa mambo hayatabiriki, watu wameshaanza kununua mchele,unga na bidhaa za chakula kujihami na vijimambo vya mpakani, wakati ambapo tayari jeshi la polisi nalo limeweka lile gari maarufu kama kojozi kwaajili ya rasha rasha za election2010