Adverts

Oct 4, 2010

PM AKIWA NA BAN Ki Moon septemba 27,2010

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana huku akipiga picha na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon kabla ya mazungumzo yao kwenye Ofisi za Umoja huo jijiniNew York Septemba 27, 2010. Mheshimiwa Pinda alimwakilisha Rais Jakaya Kikwete kwenye umoja wa Mataifa.indaba2010