Adverts

Oct 4, 2010

SASA TUMEHAMIA ILASI BUS BAADA YA WAHAPA HAPA MWINGINE KUTOKOMEA

Safari zetu kwenda mjini sasa hivi zinaaminika kupitia kampuni hii ya mzawa baada ya Mzawa mwingine kufulia sijui kufanya nini manake tunaona kama inasua sua vile! any way tunawapongeza kwa pamoja kutufanya wakazi wa Mbozi kuiona Dar Kila siku  kupitia mabasi yenu (indaba2010)