Adverts

Oct 28, 2010

SHAMBA LA EKARI MIA TANO LINAUZWA MBOZI

Ndugu watanzania, shamba kubwa lenye ukubwa wa ekari 500 lipo wilayani Mbozi kilometa 9 kutoka kwenye lami linalofaa kwa kilimo cha Ngano/shayiri, kahawa, mahindi na viazi.  wasiliana  na muuzaji kupitia namba iliyopo kwenye utangulizi wa blog hii hapo juu, tutakuunganisha na muuzaji.