Adverts

Oct 5, 2010

UWANJA WA AMANI ZANZIBAR UPO TAYARI KUTUMIKA

Baada ya ukarabati wa kampuni kutoka China, uwanja wa amani unaonekana murua ukiwa umewekwa zuria kwenye eneo la kukimbilia huku hoteli zake zikiwa saafi baada ya ukarabati mkubwa: picha kwa kudesa kutoka issamichuzi blog