Adverts

Oct 4, 2010

VIJIJINI NDIYO ZETU KILIMO NA UFUGAJI SAMAKI

Mmoja wa wananchi wa wilaya ya Mbozi aliyejengewa uwezo kupitia idara za Kilimo, Maliasili na Maji namna ya kuhifadhi raslimali maji na huku akitumia bwawa lake kwaajili ya Kilimo cha Bustani, Migomba  pamoja na ufugaji Samaki kijiji cha Igamba (indaba2010)