Adverts

Oct 25, 2010

WADAU NAO WALIKUWEPO

 Kuanzia kulia ni Dr Charles  Mkombachepa(mganga mkuu wa wilaya ya mbozi), Papa, Mwanasheria wa mji mdogo wa Tunduma Mwasalemba wakiwa kwenye pozi la picha katika harakati za kukabidhiana magari ya taka.
Hii ni sehemu tu ya mambo ya taka zinazozalishwa na wakazi wa mji wa Tunduma, wastani wa tani 37 huzalishwa kila wiki katika mji wa Tunduma hali ambapo uzoaji wake hapo awali ulikuwa kati ya Tani 15,000 hadi 20,000. Baada ya kupatikana magari haya mawili hali ya mambo inatarajiwa kubadilika na kuwa bomba sana man!!!!!!!!!!!!!!