Adverts

Oct 25, 2010

WADAU VALUE FOR MONEY WANAPOPOZI KWA FOTO!!!

Jamaa wa idara ya ukaguzi wa ndani katika halmashauri ya wilaya ya Mbozi (Kama wanavyofahamika kwa jina la utani la Value for money) wakiwa ngangali kinoma nje ya mjengo wa halmashauri hiyo baada ya kurejea kutoka shughuli za vijijini ambako kunahitaji usimamizi na ufuatiliaji wa karibu wa program mbalimbali za maendeleo zinazotekelezwa kupitia halmashauri hiyo. Kuanzia kulia ni dada  nani hii, akifuatiwa na Sheikh Waziri Mwasa, Girlbert Rwehumbiza na Maganga Henze