Adverts

Nov 28, 2010

KAMPUNI YA UNYIHA YATOA MSAADA WABATI 100 KUJENGA MABWENI

Mkurugenzi wa Unyiha Associate bwana Charles Chenza akikabidhi hundi yenye thamani ya milioni za kutosha bati 100 kwaajili ya ujenzi wa hosteli katika shule za sekondari wilayanI Mbozi katika mkoa wa Mbeya ambako ndiko alikowekeza. Msaada huo ulipokelewa na  kaimu mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Mbozi bwana Lington Ngaikwela
i ndaba2010