Adverts

Nov 30, 2010

LUKUVI AKIWA KWENYE OFISI YAKE

Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Fanuel Mbonde akiwatambulisha Mawaziri wa Nchi katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Mhe. Mary Nagu (Mb) anayeshughulikia (Uwekezaji na Uwezeshaji) na Mhe. William Lukuvi (Mb) anayeshughulikia (Sera Uratibu na Bunge) kwa Wakuu wa Idara, Vitengo na Taasisi zilizoko chini ya Ofisi hiyo (hawako pichani), tarehe 29 Novemba, 2010 wakati Mawaziri hao waliporipoti Ofisi ya Waziri Mkuu kuanza kazi rasmi baada ya kuapishwa.