Adverts

Nov 30, 2010

MAWAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU WATETA NA WATENDAJI WAO

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Uratibu na Bunge) Mhe. William Lukuvi (Mb), akisalimiana na Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) Bibi Fatma Mrisho wakati wa mapokezi ya Waziri huyo katika viwanja ya Ofisi ya Waziri Mkuu alipowasili kuanza kazi yake rasmi tarehe 29 Novemba 2010. Nyuma ya Waziri ni Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Fanuel Mbonde.