Leo madiwani wote wa manispaa ya walikuwa na semina elekezi,katika hali ya kushangaza akahudhuria Mwahija Choga ambaye nec inalazimisha kwa maelekezo ya CCM awe diwani viti maalum wa TLP
wajumbe wakachachamaa hadi Choga akatolewa kwa aibu
my take
nec na mkurugenzi pamoja na ccm wanaelewa fika kuwa /hoga alifukuzwa tlp tangu mwaka jana,na jina lake halikupelekwa nec,ila kwa hila wanalazimisha ili waweze kulazimisha mambo zao
"