Adverts

Feb 2, 2011

Sakata la maiti za vichanga, bei yake ni shilingi 50,000/= kwa kila mmoja.

Sakata la maiti za vichanga, bei yake ni shilingi 50,000/= kwa kila mmoja.: "Na Waandishi Wetu, jijini BAADA ya kugundulika kwa maiti 10 za watoto vichanga kwenye shimo moja jirani na Hospitali ya Mwananyamala,mambo mengi yamezidi kuibuka kuelezea uozo zaidi katika hospitali hiyo muhimu nchini. Dar Leo imefanikiwa kuongea na baadhi ya wananchi kuhusiana na maiti hizo ambapo..."