Adverts

Mar 25, 2011

BARAZA LA MADIWANI MBOZI WAJIPANGA KUIMARISHA ELIMU WILAYANI MBOZI

 Kaimu mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya MBOZI Bw. Lington Ngaikwela akitoa maelezo kwenye baraza la madiwani lililoketi jana wilayani Mbozi

Baadhi ya waheshimiwa madiwani wakifuatilia mjadala na makarabrasha kwenye kikao hicho

 Diwani wa kata ya Ipunga Mh Burton Sinyenga akichangia mjadala kwenye kalabrasha lake ambapo alizungumzia kuimarisha kwa makazi ya walimu kama njia ya kuvutia walimu vijijini
Diwani wa viti maalumu kata ya Luanda Mh Eva  Mlonganile akichangia kwenye baraza hilo ambapo alijielekeza zaidi katika kuitaka idara ya maendeleo ya jamii isaidia kuviimarisha vikundi vya VICOBA ambavyo vimeanzishwa na wanawake kwenye kata hiyo.,