Adverts

Mar 25, 2011

BIASHARA KANDO KANDO YA RELI INAWATOA WANANCHI WETU

 Hapa ni kituo cha Uyole ambapo kuna shehena kubwa ya Viazi vikiuzwa kwa abiria wa Treni la EXPRESS  njia hii ya uchukuzi inasaidia sana kuuumua uchumi wa wakazi walio pembezoni hasa kando kando mwa reli ya Tazara kwani kwa hali ya kawaida wasingweza kuuza kwenye barabara kuu ambako ni mbali na maeneo ya vitongoji na vijiji vyao
Nauza nauza!!!!!!!! Hiyo ilikuwa Uyole bado