Adverts

Mar 31, 2011

MTOTO AJA NA KIKOMBE CHA DAWA MOROGORO

Fatuma Sengo akimimina dawa
Habari toka Morogoro zinaeleza kuwa Ashinuri Pichuu (4) anayeishi Kichangani, ametangaza kutibu magonjwa sugu na tayari viongozi wa Serikali akiwemo Mkuu wa Wilaya Ya Morogoro Mheshimiwa Mwambungu alifika kwa "mtaalamu" huyo wa kikombe kwa habari zaidi tembelea http://www.jumamtanda.blogspot.com/

"