Adverts

Mar 24, 2011

SHIMO HILI LINATOKEA ZIWA RUKWA

Shimo lenye urefu wa zaidi ya maili 200 lipo katika kijiji cha songwe wilayani mbozi na linatokeza kwenye ziwa rukwa umbali wa zaidi ya maili 200 kutoka kijiji cha Songwe, ni sehemu ya utalii pia ambapo baadhi ya wageni wamekuwa wakitumbukia humo na kutembea kwa umbali fulani kuangalia maajabu yaliyomo na hasa idadi kubwa ya popo kwenye shimo hilo