Adverts

May 27, 2011

BAADA YA KUKAA GIZANI KWA SAA 3 NURU YAREJEA MBEYA

Kukatika kwa umeme kulikotokea leo hii kuanzia saa 11.00  jioni kumetoweka majira ya saa 3.10 Usiku huu baada ya TANESCO kuturejeshea nuru tena.

Kimsingi shughuli nyingi zilisimama tangu mgao huo utokee mjini Mbeya ambapo taarifa pia kutoka wlayani zinaeleza kuwa Mkoa wote wa Mbeya kwa kipindi hicho haukuwa na umeme.
Bila shaka ni utelelezaji wa lile suala la mgao!!!!!!!!!!!!!!