Adverts

May 27, 2011

MDAU KUTOKA BONDENI AENDELEZA FANI KIWANDANI

 Mtaalamu wa Kitanzania anayefanya kazi  nchini Afrika Kusini Bwana Ismail Mwilenga ni miongoni mwa  wataalamu wa kitanzania wanaokubalika kutokana na uwezo wao katika kutekeleza majukumu ya kila siku na kutoa tija kwenye viwanda wanakofanya kazi, Nadhani siku akirejea Bongo lazima atoe lecture how to work efficiently for effective .............malizia msomaji, kingereza kimegoma!!!!!