Adverts

Jun 30, 2011

CHINGA WA SONGEA KWAO KAMA JADI KILA SIKU KILOMETA 200

Vijana wanauza nguo za mitumba wakitembeza nguo hizo mitaani mjini Songea ,kufuatia manispaa  hiyo kuvunja vibanda vyao vilivyjengwa bila kufuata utaratibu kwa lengo la kuweka manispaa hiyo katika hali ya usafi-Picha na mdau Muhidin Amir Ndolanga!