Adverts

Jun 28, 2011

JAMANI HOOD HAWA NDEGE ULIOFUGA NI MAPAMBO AMA MAMBO MENGINE?

Ukiingia ofisini kwenye yard za Kampuni ya Hood unakutana na vurugu za ndege hawa njiwa wakiruka huku na kule huku wakiwa wamehifadhiwa magunia ya ufuta kama chakula, najiuliza ni mapambo, kitoweo ama mambo yeeeeetu yaleeee!!!!!!

Hood Bus likiingia getini kwenye ofisi zake Morogoro