Adverts

Jun 30, 2011

KWA SUPU YA MAKONGORO SONGEA MPO JUUU

Wafanyabiashara wa supu ya magongoro wakiandaa kwa ajili ya wateja wao katika stand kuu wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma,ambayo uuzwa kati ya tshs 1000 na 1500 kutegemea na ukubwa,
PICHA  NA MUHIDIN AMRI