Adverts

Jun 28, 2011

MWANAMKE KIJEBA APATIKANA BRAZIL ANA MIAKA 120!!

Bi Mkubwa Kijeba!!!
Jina lake anaitwa Maria Lucimar Pereira na ameripotiwa kuwa na umri mkubwa duniani kwa kugonga miaka120. Ndiyo ! siyo 120 namba ni miaka mia ishirini akiwa hai duniani!!

Wafanyakazi wa Taasisi ya huduma za hifadhi ya jamii nchini Brazil   INSS walimbaini kikongwe huyo wakati wakifanya mapitio ya kawaida ya kumbukumbu za kuzaliwa  kwa watu wao wanaowahudumia.
Kwa mujibu wa habari iliyochapishwa Ijumaa kwenye usiku kwenye mtandao wa nchini humo wa
 Folha de Sao Paulo  ilionyesha kuwa bi Mkubwa huyo alizaliwa September 3, 1890.
Bi Pereira is mzawa wa nchi hiyo na anaripotiwa maisha yake yote kuyatumia ama kukulia akiwa vijijini katika kaskazini kusini mwa Brazil katika jimbo la Amazon karibu na mji wa Feijo  unaokadiriwa kuwa na watu 32,261
jamani muda mdogo naomba muendelee kutafsiri.....
When social workers found her birth records they radioed the isolated indigenous community where she lives (there is no mobile service) and arranged to have her brought to the nearest town to confirm her identity.
She is apparently from the kaxinawa indigenous ethnic group, and reportedly she speaks only a few words in Portuguese.
The social workers are still trying to verify if there were any mistakes made on her birth certificate, but no irregularities have cropped up as of yet.
If it is verified that Ms Pereira really is 120, she would instantly become the world’s oldest living person - by far.
Oddly enough, earlier this week Brazilian woman Maria Gomes Valentim passed away. She was 114, and at the time of her death regarded by the Guinness Book of World Records as the oldest living person.
As for Ms Pereira, it’s said she has 10 kids and 22 grandchildren.