Adverts

Jun 28, 2011

WADAU WAELEZEA MBINU YA KUTANGULIZA MAFUNZO KABLA YA FEDHA ITASAIDIA

BW. Kita kutoka wilaya ya Mbarali akizungumza katika mahojiano jijini Dodoma kuhusiana na hatua ya Foundation for Civil Society kuzijengea uwezo asasi kabla ya kutoa fedha zao ili kuepusha matumizi mabaya na usimamizi mbovu wa miradi hiyo
Mdau mwingine kutoka YES Tanzania wilayani Ileje akizungumzia ufadhiri huo ambao utasaidia kuwafikia vijana walio vijijini