Adverts

Sep 29, 2011

AKINA MAMA WANAPOBEBA SANDUKU LA MAITI HUKU WANAUME WAKIANGALIA

Akina mama wa kitulano wa kanisa la moravian Vwawa mjini wakiwa wamebeba sanduku lenye mwili wa mwalimu wa shule ya msingi Mwenge Bi Kashiririka aliyefariki juzi na kuzikwa jana eneo la Hasamba wilayani Mbozi