Adverts

Oct 25, 2011

AJALI YA BASI YATOKEA BARABARA KUU YA MOROGORO

basi la kampuni ya Delux likiwa limetekekea kabisa baaa ya ajali mbaya inayodaiwa kuchukua maisha ya waTanania wengi kutokea mchan wa leo katika barabara ya Moro Dar. Basi hilo lilikuwa linaelekea Mkoani Dodoma likitokea Jijini Dar es salaam.