Adverts

Nov 30, 2011

PINDA AZUNGUMZIA MCHANGO WA SHULE ZA WAZAZI KATIKA KUTOA WASOMI NCHINI

Waziri mkuu Mizengo Pinda akihutubia katika kilele cha maadhimisho ya miaka 56 ya jumuiya ya wazazi Tanzania na maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru jijini mbeya
Baadhi ya wazazi na waalimu wakipita mbele ya mgeni rasmi
Wanafunzi wa shule mbalimbali za mkoa wa mbeya wakipita mbele ya mgeni rasmi
kwa hisani ya Mbeya Yetu Blog.