Katika kile kinachoonekana, mtiti unazidi kukua, Kampuni ya Clouds imetangaza kuendelea kufanya matamasha mikoani huku ikiwa ratiba zake zikiingiliana na kundi la Vinega linalopinga udhalimu dhidi ya wasanii wa kizazi kipya ambalo ratiba yake ni mwendelezo wa kuamsha wasanii katika kanda zote nchini.
Habari ambazo indabaafrica blog imezipata zinaonyesha kuwa Clouds wamepanga kufanya show jijini Mbeya jimboni kwa mh Sugu tarehe ambayo tayari Sugu alishatangaza kufanya show kama ile ya jijini Dar Tarehe 24 Decemba 2011. Kutokana na hali hiyo kunajenga mashaka kama vyombo vya dola vitaachia mazingira ya vita vya ushindani huu uendelee kwa kufanya matamasha eneo moja kwa siku moja kwani, sura ya mbeya inaeleweka ni vyema busara zikachukua nafasi kupitia vyombo vya dola kudhibiti hali hiyo. hapa ni sehemu ya ujumbe uliopo kwenye ukurasa wa Mh Sugu katika facebook wall page yake!
Habari ambazo indabaafrica blog imezipata zinaonyesha kuwa Clouds wamepanga kufanya show jijini Mbeya jimboni kwa mh Sugu tarehe ambayo tayari Sugu alishatangaza kufanya show kama ile ya jijini Dar Tarehe 24 Decemba 2011. Kutokana na hali hiyo kunajenga mashaka kama vyombo vya dola vitaachia mazingira ya vita vya ushindani huu uendelee kwa kufanya matamasha eneo moja kwa siku moja kwani, sura ya mbeya inaeleweka ni vyema busara zikachukua nafasi kupitia vyombo vya dola kudhibiti hali hiyo. hapa ni sehemu ya ujumbe uliopo kwenye ukurasa wa Mh Sugu katika facebook wall page yake!