Adverts

Dec 31, 2011

Michael Jordan gets engaged to model girlfriend Yvette Prieto

The NBA legend, 48, is engaged to girlfriend of three years, Cuban-born model Yvette Prieto, 32. Jordan reportedly popped the question on Christmas day. This will be his second marriage. He was previously married to Juanita Jordan for 17 years and they have three children. Juanita got $168million when she divorced Michael in 2006. Get a pre-nup this time Michael!

President Jonathan Declares State of Emergency in Parts of Nigeria

:
President Goodluck Jonathan has just issued a proclamation declaring a state of emergency in certain parts of Nigeria. The proclamation below...
Fellow Nigerians, it has become necessary to address you on recent events in some parts of the country that have threatened our collective security and shaken the foundations of our corporate existence as a nation.
You are all aware of the security challenges which the activities of the Boko Haram sect have foisted on the country. What began as sectarian crises in the North Eastern parts of the country has gradually evolved into terrorist activities in different parts of the country with attendant negative consequences on our national security.
Will declaring a state of emergency stop the bombings and killings? #Justasking. Continue reading... 3. Government in an effort to find a lasting solution to the security threats occasioned by the activities of the Boko Haram sect, constituted a Presidential Committee under the Chairmanship of Ambassador Usman Gaji Galtimari, to ascertain the immediate and remote causes of the crises. While efforts are being made to implement the recommendations of the Committee, the crises have assumed a terrorist dimension with vital institutions of government including the United Nations Building and places of worship becoming targets of terrorist attacks. 4. While the search for lasting solutions is ongoing, it has become imperative to take some decisive measures necessary to restore normalcy in the country especially within the affected communities. Consequently, I have in the exercise of the powers conferred on me by the provisions of section 305(1) of the Constitution, declared a state of emergency in the following parts of the federation, namely: (i) Borno State a) Maidugiri Metropolitan LGA b) Gamboru Ngala LGA c) Banki Bama LGA d) Biu LGA e) Jere LGA (ii) Yobe State a) Damaturu LGA b) Geidam LGA c) Potiskum LGA d) Buniyadi-Gujba LGA e) Gasua-Bade LGA (iii) Plateau State a) Jos North LGA b) Jos South LGA c) Barkin-Ladi LGA d) Riyom LGA (iv) Niger State a) Suleja LGA The details of this proclamation will be transmitted to the National Assembly as soon as they reconvene from their current recess, for their necessary action. 5. The Chief of Defence Staff and the Inspector-General of Police have been directed to put appropriate measures in place to ensure the protection of lives and properties of residents in the affected parts of the country. I therefore urge the political leadership in the affected states and Local Government Areas to give maximum cooperation to the law enforcement agencies deployed to their respective communities to ensure that the situation is brought under control within the shortest possible time. 6. The Chief of Defence Staff, in collaboration with other Service Chiefs, has also been directed to set up a special force unit within the Armed Forces, with dedicated counter terrorism responsibilities. 7. As part of the overall strategy to overcome the current security challenges, I have directed the closure of the land borders contiguous to the affected Local Government Areas so as to control incidences of cross boarder terrorist activities as terrorists have taken advantage of the present situation to strike at targets in Nigeria and retreat beyond the reach of our law enforcement personnel. 8. Let me assure our neighbours, especially within the ECOWAS sub-region, of Nigeria’s commitment to its international obligations as provided by the ECOWAS Protocol on Free Movement of Persons. The temporary closure of our borders in the affected areas is only an interim measure designed to address the current security challenges and will be reviewed as soon as normalcy is restored. 9. I commend the efforts of our political leaders at various levels as well as our traditional and religious leaders for their support for the various conflict resolution mechanisms and peace building measures that have been initiated by this administration. We call on the citizenry to continue to provide useful information to our law enforcement agencies to enable us arrest the situation. 10. Terrorism is a war against all of us. I call on all Nigerians to join hands with government to fight these terrorists. 11. I wish all Nigerians a very happy New Year. 12. Long Live the Federal Republic of Nigeria.

BALOZI OMBENI SEFUE AAPISHWA KUWA KATIBU MKUU KIONGOZI MPYA AKICHUKUWA NAFASI YA LUHANJO.

Rais Jakaya Kikwete akimwapisha rasmi Balozi Yohana Sefue kuwa Katibu Mkuu Kiongozi katika hafla iliyofanyika leo Ikulu jijini Dar es salaam. Rais Jakaya Kikwete (kushoto) akisisitiza jambo kwa viongozi wakuu, Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal (wa tatu kulia), Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (wa pili kulia), Katibu Mkuu Kiongozi mpya, Balozi Ombeni Sefue (wa pili kushoto) na Katibu Mkuu Kiongozi aliyemaliza muda wake, Phillemon Luhanjo muda mfupi baada ya kumwapisha Balozi Ombeni Sefue kuwa Katibu Mkuu mpya, Ikulu, Dar es Salaam. (Picha na Fadhili Akida).

Maamuzi ya kamati ya utendaji ya CUF - Taifa

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kamati ya Utendaji ya Taifa ya Chama Cha Wananchi (CUF) imefanya kikao chake cha kawaida cha siku mbili mjini Zanzibar tarehe 30 – 31 Desemba, 2011 chini ya Katibu Mkuu wa Chama, Maalim Seif Sharif Hamad.
Pamoja na kujadili ajenda kadhaa za kawaida kuhusiana na mambo ya utendaji katika Chama, Kamati ya Utendaji ya Taifa pia ilipata nafasi ya kupokea taarifa ya kina kuhusu hali ya kisiasa ndani ya Chama kutoka kwenye Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Chama kupitia Kamati yake Ndogo ya Nidhamu na Maadili. Taarifa hiyo ilijikita zaidi katika njama zinazoendeshwa na wanachama 14 wakiongozwa na Mheshimiwa Hamad Rashid Mohamed zenye mwelekeo wa kutaka kukivuruga Chama.
Kamati ya Utendaji ya Taifa imeridhika kwamba kuna hoja za msingi na ushahidi wa kutosha dhidi ya wanachama hao 14 unaoonesha kuhusika kwao na njama hizo. Wanachama hao ni:
1. Hamad Rashid Mohamed2. Doyo Hassan Doyo
3. Shoka Khamis Juma
4. Juma Said Saanani
5. Yasin Mrotwa
6. Mohamed Albadawi
7. Mohamed Masaga
8. Doni Waziri
9. Yusuf Mungiro
10. Nanjase
11. Ahmed Issa
12. Tamim Omar
13. Amir Kirungi
14. Ayubu Kimangale
Kwa mujibu wa Katiba ya Chama, kifungu cha 63 kinachozungumzia Wajibu wa Baraza Kuu la Uongozi la Taifa, kifungu cha 63 (1) (d) kinafafanua wajibu huo kuwa ni “kulinda na kuendeleza heshima ya Chama na Serikali zote halali za nchi.” Kifungu cha 63 (1) (j) kinaelezea wajibu mwengine kuwa ni “kuwachukulia hatua za nidhamu viongozi na wanachama wanaoshutumiwa kwa makosa mbali mbali kwa kufuata masharti ya Katiba hii na kanuni zitakazotungwa mara kwa mara kwa mujibu wa katiba hii.”
Kwa kuzingatia hali hiyo, Kamati ya Utendaji ya Taifa imeridhika kwamba kuna haja ya kutumia uwezo iliopewa chini ya kifungu cha 62 (1) cha Katiba ya Chama kuitisha kikao cha dharura cha Baraza Kuu la Uongozi la Taifa la Chama ili kutafakari hali hiyo, kusikiliza tuhuma zinazowakabili wanachama hao, kuwapa nafasi ya kuwasiliza na kujitetea na kisha kuchukua hatua kama litakavyoona inafaa.
Kikao hicho cha Baraza kuu la Uongozi la Taifa kitafanyika Zanzibar, tarehe 04/01/2012 katika ukumbi wa hoteli ya Mazson.
Kamati ya Utendaji ya Taifa inawaomba wanachama na wapenzi wote wa CUF kuendelea kuwa watulivu katika kipindi hiki na kutoa nafasi kwa vikao vya Chama kutekeleza wajibu wake kwa mujibu wa Katiba ya Chama.
HAKI SAWA KWA WOTE
Imetolewa na;
JULIUS MTATIRO,
NAIBU KATIBU MKUU (TANZANIA BARA),
KATIBU WA KAMATI YA UTENDAJI TA TAIFA (CUF NATIONAL CENTRAL COMMITTEE).
31 Disemba 2011,
ZANZIBAR.

Hotuba ya Rais Kikwete kuuaga mwaka 2011

SALAM ZA MWAKA MPYA ZA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHESHIMIWA DKT.JAKAYA MRISHO KIKWETE KWA WATANZANIA, TAREHE 31 DESEMBA, 2011
Ndugu Wananchi; Leo tunauaga mwaka 2011 na kuukaribisha mwaka 2012. Naungana nanyi Watanzania wenzangu kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujaalia uhai na bahati ya kuiona siku ya leo. Wapo ndugu, jamaa na marafiki zetu wengi ambao hawakujaaliwa kuwa nasi kwa kuwa wametutangulia mbele ya haki. Tuzidi kuwaombea kwa Mwenyezi Mungu awape mapumziko mema na sisi tuendelee kumuomba Mola wetu atujaalie rehema na neema tele katika mwaka ujao. Mapitio ya Mwaka 2011 na Matarajio kwa Mwaka 2012 Miaka 50 ya Uhuru Ndugu wananchi; Mwaka 2011 ulikuwa mwaka wa aina yake na wa kihistoria kwa nchi yetu na wenye mchanganyiko wa mambo. Kulikuwa na matukio ya furaha na majonzi na ulikuwa mwaka tuliopata mafanikio mengi na changamoto mbalimbali. Tumeweza kusherehekea miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara kwa heshima stahiki kama nilivyoelekeza katika hotuba yangu ya kuuaga mwaka 2010 na kuukaribisha mwaka 2011. Tumezitumia vizuri sherehe hizo kufanya tathmini ya maendeleo tuliyoyapata tangu Uhuru mpaka hapa tulipo sasa pamoja na kutambua changamoto zilizo mbele yetu. Hakika tumepata mafanikio makubwa sana katika miaka 50 hii ya Uhuru wetu kuliko yale yaliyopatikana katika miaka 77 ya ukoloni wa Wajerumani (miaka 34) na Waingereza (miaka 43). Pamoja na mafanikio hayo tuliyoyapata bado nchi yetu ni miongoni mwa nchi maskini sana duniani hivyo bado tunayo kazi kubwa sana ya kufanya mbele yetu. Katika tathmini iliyofanywa na kila Wizara na Idara za Serikali, mambo yanayostahili kufanyika miaka ijayo pamoja na mikakati ya kufikia malengo hayo, yameainishwa vizuri. Mpango wa Maendeleo Ndugu Wananchi; Bahati nzuri, mambo yote yaliyoainishwa kufanywa yanakuwa sehemu ya mambo ya kutekelezwa katika Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano 2011/2012 mpaka 2015/2016. Kama mtakavyokumbuka miongoni mwa matukio muhimu katika mwaka 2011 ni kukamilika kwa kazi ya kufanya tathmini ya kuhuisha Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2025 na kutengenezwa kwa Mpango wa Kwanza wa Maendeleo wa Miaka Mitano wa kutekeleza Dira hiyo. Tumejipanga vizuri kutekeleza Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano katika Bajeti ijayo. Pia nimeunda Kikundi Kazi kinachoongozwa na Prof. Benno Ndulu cha kushauri juu ya vipaumbele na kufuatilia utekelezaji wa Mpango huo. Ndugu Wananchi; Kwa mara nyingine tena narudia kutoa pongezi za dhati kwa Watanzania wenzangu wote kwa jinsi tulivyosherehekea miaka 50 ya kuzaliwa kwa taifa huru la Tanganyika ambalo sasa ni Tanzania Bara. Tumeikumbuka na kuitukuza ipasavyo siku hii maalum na adhimu kwa nchi yetu. Nawapongeza sana wale wote waliofanya kazi kubwa ya maandalizi ya sherehe zile pamoja na wananchi walioshiriki. Ni matumaini yangu kuwa kila mmoja wetu katika ngazi yake na dhamana yake atafanya tathmini ya jinsi mambo yalivyokuwa katika maeneo yake ili kujua mafunzo gani amepata. Lengo ni kutambua maeneo ya udhaifu kwa nia ya kurekebisha kasoro zilizopo na yale waliyofanya vizuri kwa nia ya kuimarisha zaidi. Mchakato wa Katiba Ndugu Wananchi; Tukio lingine la kihistoria lililotokea mwaka huu tunaoumaliza leo ni kuanza kwa mchakato wa kupata Katiba mpya ya nchi yetu. Kama mnavyokumbuka, katika hotuba yangu ya kuuaga mwaka 2010 na kuukaribisha mwaka 2011, niliahidi kwamba tutaanzisha mchakato wa kuitazama upya Katiba ya nchi yetu kwa lengo la kuihuisha, ili hatimaye tuwe na Katiba inayoendana na taifa lenye umri wa nusu karne. Azma yetu ni kuwa tusherehekee miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar tukiwa na Katiba mpya itakayotumika kwenye Uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2015. Kama mnavyofahamu nyote, katika Bunge la Aprili, 2011, Serikali iliwasilisha Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba (2011). Tarehe 18 Novemba, 2011 Bunge liliupitisha Mswada huo na mimi nikatia saini na kuwa Sheria tarehe 29 Novemba, 2011. Sheria hiyo sasa ndiyo inayotoa mwongozo wa namna mchakato wa kupata Katiba mpya utakavyoendeshwa. Ndugu Wananchi; Sheria hiyo imeainisha utaratibu wa uundwaji wa Tume ya Kukusanya Maoni ya wananchi wote na jinsi itakavyofanya kazi yake. Aidha, inaelezea namna ya kuundwa kwa Bunge Maalum la Katiba lenye uwakilishi mpana zaidi kuliko Bunge la sasa la Jamhuri ya Muungano. Kazi ya Bunge hilo itakuwa ni kupokea na kujadili Rasimu ya Katiba itakayotayarishwa na Tume ya Katiba. Baada ya Bunge kujadili Rasimu hiyo na kufanya uamuzi wake, Rasimu ya Katiba itapelekwa kwa wananchi kwa uamuzi wa mwisho kwa njia ya kura ya maoni. Sheria, pia, inaelekeza namna kura ya maoni ya wananchi itakavyoendeshwa na hatimaye kupata Katiba mpya. Ndugu Wananchi; Sote tunafahamu maoni mbalimbali na mjadala mkali uliokuwepo baada ya mimi kueleza dhamira yangu ya kuanzisha mchakato wa kufanya mabadiliko ya Katiba yetu wakati Muswada ulipokuwa Bungeni na hata baada ya kupitishwa na kusainiwa kuwa Sheria. Kwa kutambua wajibu wa kusikiliza maoni ya wadau, sikusita kukubali maombi ya kukutana na viongozi wa CHADEMA, CUF na NCCR na Shirikisho la Mashirika yasiyokuwa ya Kiserikali. Tulikuwa na mazungumzo mazuri na viongozi wa CHADEMA, CUF na tulielewana juu ya namna ya kushughulikia hatua zinazofuata katika mchakato huu. Nitakutana na viongozi wa NCCR mapema mwezi Januari, 2012. Napenda kuwahakikishia Watanzania wenzangu wote kuwa niko tayari kukutana na kuzungumza na wadau wowote na kupokea mawazo mema ya kuboresha mchakato wetu huu muhimu. Dhamira yangu na ya wenzangu Serikalini ni kuhakikisha kuwa tunakuwa na mchakato mzuri ili hatimaye tupate Katiba iliyo nzuri; Katiba ambayo italilea taifa letu kwa miaka 50 ijayo likiwa na amani, utulivu, demokrasia na maendeleo makubwa zaidi. Ndugu Wananchi; Ni matarajio yangu kuwa ndani ya robo ya kwanza ya mwaka ujao uundaji wa Tume ya Katiba utakuwa umekamilika. Katika robo ya pili au ya tatu ya mwaka 2012, Tume hiyo itaanza kazi yake ya kukusanya maoni. Napenda kutumia nafasi hii kuwaomba Watanzania wenzangu wote mjiandae kushiriki kwa ukamilifu kutoa maoni yenu kwenye Tume ya Katiba. Aidha, niwaombe, ndugu zangu, tujiepushe na vitendo vya kuzuia watu kutoa maoni yao kwa uhuru hasa wale wenye maoni tofauti na yetu. Kutoa maoni katika Tume hiyo ni haki ya kila mwananchi. Iwe ni mwiko kwa mtu yoyote au kikundi chochote kumzuia mtu au watu wowote kutumia haki yao hiyo. Iwe ni mwiko pia kwa mtu, watu au taasisi yoyote kujaribu kuhodhi mijadala hiyo. Ni vyema tukajua kuwa tunatengeneza Katiba ya watu wote na kwa maslahi yetu sote. Hatutengenezi Katiba ya watu fulani wateule au kikundi fulani cha kisiasa au kijamii kwa maslahi yao. Tuwaache watu watoe maoni yao kwa uhuru ili tupate Katiba ya watu wote. Hali ya Usalama Nchini Uharamia Baharini Ndugu Wananchi; Hali ya usalama wa nchi yetu katika mwaka 2011 ilikuwa ya kuridhisha na Tanzania iliendelea kuwa nchi yenye amani na utulivu. Kwa jumla, mipaka yetu yote ilikuwa salama isipokuwa ule wa majini kwa upande wa Bahari Kuu ya Hindi ambako kumekuwepo na matukio ya uharamia. Katika mwaka huu tunaoumaliza leo, kumekuwepo na majaribio tisa ya kuteka meli ndani ya mipaka yetu katika Bahari Kuu hiyo. Bahati nzuri hakuna hata moja lililofanikiwa kutokana na kazi nzuri iliyofanywa na Jeshi letu la Wanamaji. Maharamia saba wamekamatwa na kufikishwa Mahakamani ambako kesi zao zinaendelea. Napenda kutumia nafasi hii kutoa pongezi maalum kwa Jeshi letu la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania kwa kazi nzuri waliyoifanya na wanayoendelea kuifanya ya kupambana na maharamia katika Bahari Kuu ya Hindi. Kutokana na juhudi zao hizo matukio ya kujaribu utekaji meli yamepungua mwaka huu ikilinganishwa na mwaka jana ambapo kulikuwa na matukio 30. Ndugu Wananchi; Natambua kuwepo kwa mahitaji kadhaa kwa Jeshi letu na wanajeshi wetu ili kuimarisha ulinzi katika mipaka yetu ya majini katika Bahari Kuu ya Hindi na katika maziwa yetu makuu ya Nyasa, Tanganyika na Victoria. Tumekwishaanza kuchukua hatua muafaka kwa ajili hiyo na tutaendelea nazo kwa kasi zaidi katika mwaka 2012 na kuendelea. Uhalifu Ndugu Wananchi; Juhudi za kupambana na kudhibiti uhalifu nchini ziliendelea na mafanikio yameendelea kupatikana. Taarifa za Jeshi la Polisi za kati ya Januari na Novemba, 2011 zinaonesha kuwa matukio ya makosa makubwa ya jinai yamepungua ukilinganisha na hali ilivyokuwa kipindi kama hicho mwaka 2010. Makosa hayo yamepungua kutoka 86,150 hadi 69,678 na punguzo kubwa zaidi limetokana na kupungua sana kwa makosa ya wizi, pamoja na yale ya kubaka, kunajisi, kutupa watoto, unyang’anyi wa kutumia silaha, kuchoma nyumba, na dawa za kulevya. Ndugu Wananchi; Mafanikio haya ya kutia moyo ni uthibitisho wa kazi nzuri inayofanywa na Jeshi la Polisi wakishirikiana na wananchi na vyombo vingine vya ulinzi na usalama. Tutaendeleza juhudi za kuliwezesha Jeshi hilo kwa zana, vifaa, mafunzo, maslahi na mazingira ya kazi na ya kuishi katika mwaka 2012 na miaka ijayo ili ufanisi mkubwa zaidi upatikane katika kupambana na uhalifu nchini. Ajali za Barabarani Ndugu Wananchi; Kwa upande wa ajali za barabarani, matukio yamepungua kutoka 22,440 mwaka 2010 hadi 22,000 mwaka 2011. Hata hivyo, ajali zilizosababisha watu kupoteza maisha ziliongezeka mwaka huu kuliko mwaka wa jana. Mwaka jana ajali hizo zilikuwa 2,833 ukilinganisha na 3,012 mwaka 2011 na watu waliopoteza maisha walikuwa 3,332 ukilinganisha na 3,707 mwaka 2011. Ongezeko la ajali barabarani linasababishwa na ongezeko kubwa la vyombo vya usafiri hasa magari na pikipiki. Katika miaka sita iliyopita, magari 514,136 na pikipiki 1,206,679 zimeinginzwa nchini. Sababu nyingine ni madereva kutokuwa makini katika uendeshaji ama kwa sababu ya ujuzi mdogo au uzembe na ulevi. Mimi naamini kuwa tatizo hili litapungua sana kama madereva wataacha uzembe, ulevi na kuheshimu sheria za usalama barabarani. Aidha, nirudie kuwataka ndugu zetu wa Polisi wanaosimamia sheria ya usalama barabarani, kuhakikisha kuwa sheria hiyo inatekelezwa ipasavyo na wale wote wanaotumia barabara, yaani vyombo vya usafiri na watu. Ajali ya Mabomu, Meli na Mafuriko Ndugu Wananchi; Katika mwaka 2011 licha ya ajali barabarani, kulitokea ajali ya kulipuka mabomu katika kambi ya Jeshi Gongolamboto, ajali ya kuzama kwa meli ya Spice Islander huko Zanzibar na mafuriko katika jiji la Dar es Salaam. Matukio hayo yamesababisha ndugu zetu wengi kupoteza maisha, wengine kujeruhiwa na mali nyingi kupotea. Milipuko ya Mabomu Katika ajali ya Gongolamboto watu 25 walifariki dunia na 512 walijeruhiwa na nyumba 1,791 ziliharibiwa kwa viwango mbalimbali. Nimearifiwa kuwa shilingi 817,740,849 zimelipwa kwa ajili ya kugharamia ukarabati wa nyumba zao zilizoharibiwa. Bahati mbaya kwa wale ambao nyumba zao ziliharibiwa sana na kulazimika kujengwa upya kazi hiyo imechelewa sana kuanza kwa sababu za urasimu wa kupata viwanja. Nimemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ahakikishe kuwa wahusika katika Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Manispaa ya Ilala wanaacha urasimu na kuharakisha upatikanaji wa viwanja ili kazi ya ujenzi ianze. Aidha, nimewaomba viongozi wa Wizara ya Ulinzi, JWTZ na hasa JKT kuhakikisha kuwa kazi ya ujenzi itakapoanza inakamilika mapema iwezekanavyo. MV Spice Islander Ndugu Wananchi; Kwa upande wa ajali ya MV Spice Islander iliyotokea Septemba 10, 2011 ndugu zetu 619 waliokolewa na maiti 203 zilipatikana. Mali iliyokuwa ndani ya meli hiyo haikuweza kuokolewa hivyo haikuweza kujulikana kama wapo watu wengine waliokuwa wamezama na meli hiyo. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein aliunda Tume ya Uchunguzi wa ajali hiyo. Tume hiyo imekamilisha kazi yake na kuwasilisha ripoti yake Serikalini. Hivi sasa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaitafakari taarifa hiyo kwa lengo la kuchukua hatua muafaka. Subira yavuta heri. Mafuriko ya Dar es Salaam Ndugu Wananchi; Kutokana na mvua kubwa zilizonyesha kuanzia usiku wa kuamkia tarehe 20 mpaka tarehe 23 Desemba, 2011, Bonde la Mto Msimbazi na maeneo ya jiji yalikumbwa na mafuriko makubwa ambayo hayajawahi kutokea katika historia ya jiji la Dar es Salaam. Kutokana na mafuriko hayo ndugu zetu 40 wamepoteza maisha na nyumba na mali nyingi zimeharibiwa. Pia, watu wapatao 5,029 wamekosa makazi na kupatiwa hifadhi na jamaa zao au katika maeneo yaliyotengwa na Serikali ya Mkoa wa Dar es Salaam. Aidha, Serikali imekuwa ikiwahudumia waathirika hao kwa malazi, chakula na huduma ya afya. Vile vile, watu na mashirika mbalimbali yamekuwa yanatoa misaada ya kibinadamu kuwasaidia ndugu zetu hao. Ndugu Wananchi; Tarehe 21 Desemba, 2011, niliwatembelea baadhi ya waathirika na kuona athari za mafuriko katika jiji la Dar es Salaam. Pia nilipata nafasi ya kupokea taarifa ya maafa hayo kutoka kwa Mkuu wa Mkoa. Nilielezwa shughuli za uokoaji, huduma zinazotolewa kwa walioathirika katika makazi ya muda na mipango ya baadaye kuhusu watu walioathirika na ujenzi wa makazi katika Bonde la mto Msimbazi na mabonde mengine katika jiji la Dar es Salaam. Niliwapa pole waathirika na kuwapongeza viongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam walivyoongoza juhudi za kuokoa maisha ya ndugu zetu waliokumbwa na janga hili na jinsi wanavyowahudumia. Niliafiki uamuzi wa Mkoa kwamba ndugu zetu waliojenga na kuishi katika Bonde la Mto Msimbazi wahame. Aidha, nilikubaliana na uamuzi wao kuwa wale wote waliojenga katika njia za asili za kupita maji na kuyalazimisha maji kutafuta njia nyingine na kusababisha madhara pasipostahili nao pia wabomoe. Maji yaachwe yapite kwenye njia zake za kawaida ili kuepusha madhara yanayoweza kuepukika. Ndugu Wananchi; Ni matumaini yangu kuwa ndugu zetu wa Jangwani na kwingineko hawatakaidi tena amri halali ya mkoa kama walivyofanya miaka ya nyuma. Baada ya mafuriko ya mwaka 1998, ambapo baadhi ya watu waliokolewa kwa helikopta kama safari hii, watu waliamriwa kuhama na kugawiwa viwanja vya kujenga makazi mbadala. Lakini, walikaidi amri na kudiriki kwenda Mahakamani kuzuia utekelezaji wa amri hiyo. Bahati nzuri walishindwa. Wahenga wamesema “asiyesikia la mkuu huvunjika guu”. Mafuriko yametokea tena mwaka huu, tena mabaya zaidi. Safari hii helikopta hazikutosha bali boti na vijana hodari wa kuogelea walitumika kuokoa maisha ya watu. Pamoja na juhudi hizo safari hii ndugu zetu 40 wamepoteza maisha na mali nyingi zaidi zimepotea na kuharibiwa. Ndugu Wananchi; Nimewataka viongozi wa Serikali na Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam washikilie msimamo wao huo huo. Watu watakaokaidi wasiachwe kuendelea kuishi mabondeni. Tukikubali wabaki, sote, yaani watu wenyewe na Serikali, hatutaeleweka. Tena tutachekwa na kulaumiwa vibaya siku za usoni mafuriko mengine yatakapotokea na watu kukutwa katika hali kama hii na Serikali kujikuta inarudia tena kufanya kazi ya kuokoa watu. Bahati nzuri maeneo ya kuhamia yametambuliwa na viwanja vimeshaanza kugawiwa. Kila mwenye nyumba atapewa na naomba hata wapangaji wapewe iwapo viwanja vitasalia. Hivyo, narudia kuwataka ndugu zetu kuhama kwa hiari yao na wale watakaokaidi wahamishwe bila ya ajizi kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa. Uchumi na Maendeleo Ndugu Wananchi; Kwa upande wa uchumi, mwaka 2011 ulikuwa na changamoto nyingi. Kulikuwa na mchanganyiko wa ukame, uhaba mkubwa wa umeme, upungufu wa chakula kwenye baadhi ya maeneo nchini, kupanda kwa bei za mafuta na vyakula, kushuka kwa thamani ya shilingi, mfumuko wa bei kupanda na sasa mvua nyingi na athari zake. Pamoja na changamoto hizo tunatarajia uchumi wetu utakua kwa asilimia 7 ingawaje wenzetu wa IMF wanakadiria kuwa utakua kwa asilimia 6.3. Hata kwa kiwango hicho bado nchi yetu inabakia kuwa miongoni mwa nchi 20 duniani zinazoongoza kwa ukuaji wa uchumi. Ni dhahiri basi kuwa kama athari hizo zisingekuwepo hali ya uchumi wetu ingekuwa bora zaidi. Ndugu Wananchi; Tulianza mwaka 2011 kukiwa na ukame mkali uliokumba maeneo mengi nchini. Mtakumbuka kuwa katika hotuba yangu ya kuuaga mwaka 2010 na kuukaribisha mwaka 2011 nililizungumzia suala la uhaba wa mvua na ukame na kutaka tuombe mvua za masika ziwe nzuri. Mvua hazikuwa nyingi na mtawanyiko wake haukuwa mzuri. Maeneo mengi mvua zilikuwa chini ya wastani. Kwa sababu hiyo watu 423,530 katika Halmashauri 36 za mikoa 13 walikumbwa na upungufu wa chakula na kuilazimisha Serikali kutoa msaada wa chakula. Aidha, kwa sababu ya upungufu huo, bei za vyakula zilipanda sana hasa mijini. Ili kukabiliana na hali hiyo niliagiza Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula kuanza utaratibu wa kuuza mahindi kwa wafanyabiashara wa mijini ili kusaidia kupunguza bei ya chakula. Agizo langu hilo sasa ni sehemu ya sera ya Taasisi hiyo itakayotekelezwa kila mwaka wakati chakula kutoka mashambani kitakapopungua katika masoko ya mijini. Ndugu Wananchi; Ukame huo pia ukasababisha kupungua sana kwa maji katika mabwawa ya kuzalisha umeme na hivyo kuliingiza taifa katika tatizo kubwa la upungufu wa umeme. Ili kukabiliana na tatizo hilo TANESCO imelazimika kuingia mikataba na makampuni ya kuzalisha umeme kwa malipo. Kwa vile gesi inayozalishwa hivi sasa kwa ajili ya kuendeshea mitambo ya kufulia umeme iliyopo Ubungo haitoshelezi mahitaji ya taifa, makampuni hayo yamelazimika kutumia mitambo inayotumia mafuta. Mitambo hiyo imepatikana na tayari inazalisha umeme. Ndiyo maana mgao sasa haupo. Lakini, kwa sababu ya kutumia mafuta, umeme huu ni ghali na umekuwa mzigo mkubwa wa gharama kwa TANESCO. Kutokana na sababu hizo, TANESCO wamepeleka maombi EWURA ya kutaka kuongeza bei ya umeme. Ndugu Wananchi; Tunamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwamba tunaumaliza mwaka huu na kuuanza mwaka 2012 kukiwa na mvua nzuri karibu nchi nzima. Dua zetu mwaka huu ni kuomba mvua za kiasi kwani sehemu nyingine mvua zimezidi kipimo. Zimesababisha mafuriko, vifo vya watu, mali pamoja na miundombinu ya babara kuharibika. Katika baadhi ya maeneo mazao mashambani hasa mahindi yanaathirika kwa maji kuzidi. Kwa muelekeo huu wa mvua na hasa kama mvua za masika nazo zitakuwa nzuri mwaka 2012 kutakuwa na chakula kingi nchini karibu maeneo yote. Ndugu Wananchi; Baada ya ukame wa mwaka 2006 na upungufu mkubwa wa umeme wa tangu wakati huo mpaka mwaka 2008, tulitoa ahadi ya kuchukua hatua za makusudi za kupunguza utegemezi mkubwa wa kupita kiasi wa umeme wa nguvu ya maji. Nilisema kuwa tutaanza juhudi za kuendeleza vyanzo vingine vya nishati hasa gesi asilia na makaa ya mawe mpaka tufikie mahali ambapo hata kama maji hayatoshi katika mabwawa ya vituo vya umeme, nchi haitakosa umeme. Tumeendelea kutekeleza uamuzi ule wa busara. Mpaka sasa Serikali kupitia TANESCO imeshaongeza MW 245 za umeme unatokana na gesi asilia. Nyongeza hiyo ingeweza kuwa kubwa zaidi lakini hakuna gesi ya kutosha kutoka Songo Songo. Bahati mbaya mchakato wa kuongeza gesi umechelewa kwa karibu miaka miwili, lakini mwelekeo sasa mzuri. Ndugu Wananchi; Maombi yetu kwa Serikali ya China ya kupata mkopo wa kujenga bomba la kusafirisha gesi kutoka Mtwara na mtambo wa kuchakata gesi inayotoka Songo Songo yamekubaliwa. Utekelezaji wake unatarajiwa kuchukua miezi 18 na gesi itakayoletwa inaweza kuzalisha mpaka Megawati 3,000 za umeme. Baada ya hapo kasi ya kuongeza umeme itakuwa kubwa zaidi na tatizo la upungufu wa umeme linaweza kuwa historia. Bahati nzuri wawekezaji wa kuzalisha umeme kutumia gesi hiyo wapo, wanachosubiri ni gesi kufika. Wakati huo huo michakato ya kuzalisha umeme kutokana na makaa ya mawe ya Ngaka, Kiwira na Mchuchuma imeanza na ipo katika hatua mbalimbali. Pia mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia nguvu ya upepo unaendelea vizuri. Matatizo ya Bei ya Mafuta Ndugu Wananchi; Katika mwaka 2011 bei ya mafuta iliendelea kuwa tatizo. Tatizo hilo lilikuwa na sura ya ndani na ya nje. Bei ya mafuta katika soko la dunia ilipanda kutoka dola za Marekani 76.1 kwa pipa mwezi Septemba, 2010 hadi dola 100.5 Septemba, 2011 na dola 99.92 jana tarehe 30 Desemba, 2011. Kwa vile mafuta yanagusa takriban nyanja zote za uchumi na maisha ya Watanzania nyongeza ya asilimia 45 ya bei za mafuta imesababisha kupanda kwa gharama ya huduma na bidhaa nyingi hivyo kuongezeka gharama ya maisha kwa watu. Ndugu Wananchi; Hapa kwetu makali ya ongezeko la bei ya mafuta duniani yaliongezwa na kushuka thamani ya shilingi na vitendo vya wafanyabiashara ya mafuta. Thamani ya shilingi dhidi ya dola ya Marekani ilishuka kutoka wastani wa shilingi 1,500 kwa dola ya Kimarekani mwanzoni mwa Januari, 2011 hadi shilingi 1,815 kwa dola tarehe 27 Oktoba, 2011. Serikali kupitia Benki Kuu ilichukua hatua mbalimbali zilizoweza kupunguza kasi ya kushuka kwa thamani ya shilingi hadi wastani wa shilingi 1,595 kwa dola hivi sasa. Kwa sababu ya shilingi kupungua thamani, waagizaji wa mafuta walilazimika kutumia pesa nyingi za Kitanzania kununua dola ambazo kabla ya hapo walitumia pesa kidogo kuzipata. Hali hiyo ndiyo iliyosababisha athari za kupanda kwa bei za mafuta duniani kuwa kali zaidi hapa nchini. Sambamba na hilo, mwenendo wa wafanyabiashara hasa wa kukataa kutii maamuzi ya EWURA hasa pale wanapoteremsha bei limekuwa tatizo lingine. Wafanyabiashara hawako tayari kuona watumiaji wa mafuta wakipata nafuu hata kidogo. Kila bei zinaposhuka basi watapinga. Ama wataendelea kuuza kwa bei ya zamani au watasababisha upungufu wa mafuta ili bei iendelee kuwa juu. Lakini EWURA wanapotangaza kupandisha bei, yote hayo hayaonekani. Napenda kutumia nafasi hii kuwasihi wafanyabiashara ya mafuta kutoa ushirikiano kwa EWURA inapotimiza wajibu wake. Ni ukweli ulio wazi kuwa bei ya mafuta duniani hupanda na kushuka. Kukataa kushusha bei ya mafuta wakati bei ya dunia inaposhuka ni tamaa ya utajiri iliyovuka mipaka ya utu. Nawapongeza EWURA kwa msimamo wao na waendelee kuwawajibisha wanaokaidi. Msirudi nyuma. Kwa nia ya kutafuta nafuu ya bei ya mafuta, tumeamua kuanzisha uagizaji wa pamoja wa mafuta. Lengo ni kupata nafuu ya bei na ya gharama ya uchukuzi na hivyo kumfanya mtumiaji wa mwisho naye apate nafuu ya bei ya mafuta. Utaratibu huo utaanza rasmi mwezi Januari, 2012. Tungoje tuone utakavyopokelewa na wafanyabiashara. Naamini utasaidia, labda kama utahujumiwa. Naagiza Wizara na Mamlaka husika kuhakikisha kuwa mpango huu unafanikiwa kama tunavyotarajia. Kilimo Ndugu Wananchi; Kwa upande wa kilimo katika mwaka 2011 juhudi za kuleta mageuzi katika kilimo chetu zinazolenga kuwanufaisha wakulima wadogo zimeendelea kutekelezwa. Ruzuku ya pembejeo iliendelea kutolewa, maafisa ugani waliongezwa vijijini na uboreshaji wa masoko na miundombinu vijijini uliendelea. Juhudi hizo zimeleta matokeo mazuri kwa uzalishaji wa mazao kuongezeka. Bahati mbaya katika mikoa ya Rukwa, Mbeya, Ruvuma na Iringa kumekuwa na usumbufu mkubwa wa ununuzi wa mahindi ya wakulima katika msimu huu. Kiini cha tatizo ni taratibu za kupata fedha za kununulia mahindi kutokamilika mapema. Nimewaagiza viongozi wa NFRA, Wizara ya Fedha na Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika kuhakikisha kuwa wakulima ambao mazao yao yako mikononi mwa NFRA wanalipwa mara moja na usumbufu uliokuwepo safari hii haujirudii tena mwakani na miaka ijayo. Lazima taratibu za kupata fedha za kununulia mazao ya wakulima zianze na kukamilika mapema kabla ya msimu wa ununuzi kuanza. Aidha, nimewataka wahakikishe kuwa ucheleweshaji wa upatikanaji wa vocha za pembejeo haujitokezi tena mwakani na miaka ijayo. Kwa sasa njia zitafutwe za kuhakikisha kuwa wakulima hawakosi pembejeo kwa sababu ya vocha kuchelewa. Ndugu Wanananchi; Vile vile, nimeelekeza kuwa mwakani uwekwe mfumo mzuri utakaowawezesha wafanyabiashara binafsi kushiriki mapema katika ununuzi wa mazao ya wakulima. Pamoja na kuuza sehemu ya mahindi ya NFRA mijini ili kushusha bei hasa katika kipindi cha upungufu wa mahindi mikononi mwa wakulima, NFRA itafute namna bora ya kuuza mazao yaliyopo katika maghala yake mapema kabla ya msimu mpya wa ununuzi haujaanza. Kufanya hivyo kutatoa nafasi katika maghala ili kutoa nafasi ya kuhifadhi bidhaa za msimu mpya. Uwekezaji Ndugu Wananchi; Katika mwaka huu tunaoumaliza leo tulitoa kipaumbele cha juu katika kukuza uwekezaji nchini na tunakusudia kuendelea kufanya hivyo mwaka ujao. Tumekuwa tunatangaza fursa za uwekezaji zilizopo nchini na kuwashawishi wawekezaji wa ndani na nje kujitokeza kuja kuwekeza. Pia tumekuwa tunachukua hatua za kuboresha mazingira ya uwekezaji ili kuifanya Tanzania kuwa nchi nzuri ya kuwekeza na kufanya biashara. Tumeainisha maeneo ya kipaumbele katika uwekezaji ambayo baadhi yake ni viwanda, kilimo, madini, utalii, biashara, nishati, uchukuzi na teknohama. Lengo letu kuu la kuhimiza uwekezaji nchini ni kutaka kuongeza uwezo na kasi ya kukuza uchumi na kupunguza umaskini kwa kuongeza uzalishaji mali, kuboresha huduma na kukuza ajira. Ndugu Wananchi; Mara kadhaa unawasikia watu hapa nchini na kwingineko duniani wakiuliza kwa nini nchi za Afrika, Tanzania ikiwemo ni maskini wakati rasilimali zimejaa tele. Moja ya sababu kubwa ni kutokuwepo kwa uwekezaji wa kutosha wa kuzigeuza rasilimali hizo kuwa bidhaa na huduma za kuuza katika soko na kuwapatia mapato wamiliki wake watakayoyatumia kuboresha hali zao za maisha. . Chukua, kwa mfano, mtu mwenye msitu mkubwa na mzuri anayetaka uwe shamba la kuzalisha mazao yatakayomwezesha kupata mapato yatakayosaidia kubadili maisha yake. Haitakuwa hivyo mpaka pale atakapochukua panga na jembe akafyeka na kulima, baadae akachukua mbegu akapanda, akaweka mbolea, akapalilia, akavuna na kupeleka mazao sokoni kuuza akapata pesa, atakapozitumia kujipatia mahitaji yake ya maisha. Kufyeka, kulima, kupanda, kupalilia, kuvuna na kupeleka sokoni ndiyo uwekezaji. Ndugu Wananchi; Ni kutokana na kutambua ukweli huo ndiyo maana sisi katika Serikali tunahimiza na kuvutia wawekezaji ili nchi itumie fursa zilizopo nchini kujiletea maendeleo, kupunguza umaskini na kukuza ajira. Inakadiriwa kuwa hapa nchini mwaka 2011, kuna watu wenye uwezo wa kufanya kazi 22,152,320 na kati ya watu hao 2,368,672 au sawa na asilimia 10.7 hawana ajira. Ili watu hao waweze kupata ajira itategemea kwa kiasi gani tunafanikiwa kukuza uwekezaji katika sekta na shughuli mbalimbali. Bila ya hivyo kupatikana kwa ajira itakuwa ndoto. Ndugu Wananchi; Katika kuwahamasisha wawekezaji, tunatambua fika umuhimu wa kutoa kipaumbele kwa wawekezaji wananchi wa Tanzania. Wanahitaji upendeleo maalum na wanahitaji kuwezeshwa na tumekuwa tunafanya hivyo. Ndiyo maana kuna maeneo na shughuli zilizotengwa maalum kwa ajili ya wawekezaji wazawa pekee. Aidha, umewekwa ukomo wa kiwango cha chini cha mtaji ambacho wawekezaji wageni lazima wawe nacho ili watambuliwe kuwa wawekezaji. Tusipofanya hivyo uchumi utatawaliwa na wageni. Lakini hatukuishia hapo tu, tumelitazama suala la uwezeshaji wa wazawa ili waweze nao kushiriki katika fursa zilizopo nchini mwao. Tumechukua hatua za makusudi kufufua Benki ya Rasilimali kwa ajili ya kutoa mikopo kwa wawekezaji wazawa kwa shughuli za viwanda na biashara. Pia tunakamilisha mipango ya kuanzisha Benki ya Kilimo kwa ajili ya kutoa mikopo kwa wakulima wazawa. Benki hizo mbili hazitatoa mikopo kwa wawekezaji wageni. Aidha, tumeanzisha mpango wa dhamana kwa wauzaji nje na wenye viwanda vidogo na vya kati, yaani Export Credit Gurantee Scheme na Small and Medium Enterprises Guarantee Scheme”. Mifuko hiyo maalum inayosimamiwa na Benki Kuu ipo kwa ajili ya kuwasaidia wawekezaji wazawa. Mwaka 2011 wananchi wengi walinufaika na Export Credit Guarantee Scheme kupitia vyama vyao vya ushirika 635 vilivyopatiwa jumla ya shilingi bilioni 108.67. Aidha, makampuni mengine yalipata jumla ya shilingi bilioni 24.35. Ni makusudio yetu kuongeza fedha ili makampuni na na watu wengi wanufaike na fursa hizi. Uwezeshaji Wajasiriamali Wadogo Ndugu wananchi; Tunatambua kwamba wapo watu wanaopenda kufanya shughuli zao za kujipatia kipato. Tunatambua pia kwamba si kila mtu atapata nafasi ya kuajiriwa, lakini wapo wanaoweza kujiajiri kwa maana ya kuwa na shughuli zao za kuwapatia riziki. Hata hivyo, ili waweze kufanya hivyo wanahitaji kuwa na mtaji, yaani pesa. Si wengi wanao ndugu au jamaa wa kuwapatia pesa wanazozihitaji. Pesa za namna hiyo ziko benki ambako kuzipata kwake kuna masharti magumu, moja likiwa ni dhamana ya kitu kisichoondosheka. Wengi na hasa vijana hawana dhamana ya namna hiyo. Ni kwa nia ya kuwaondoshea kikwazo hicho ili waweza kukopesheka, ndipo tulipohimiza uanzishaji wa SACCOS na kuanzisha Mfuko wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi. Ndiyo maana pia kuna Mifuko ya Wanawake na Vijana. Kwenye Mfuko wa Uwezeshaji wa Wananchi Kiuchumi, tulitenga shilingi bilioni moja kwa kila Mkoa kwa upande wa Bara na milioni 100 kwa mikoa ya Zanzibar isipokuwa Mkoa wa Mjini Magharibi uliopata shilingi milioni 200. Pesa hizo zilikopeshwa kupitia Benki za NMB na CRDB kila moja ikipewa shilingi bilioni 5.5 kwa maelewano kuwa wao watachangia mara tatu. Pia asasi ndogo za fedha 12 zilipewa jumla ya shilingi bilioni 10. Ndugu Wananchi; Tathmini iliyofanywa na Baraza la Uwezeshaji la Taifa zinaonesha kuwa jumla ya shilingi bilioni 37.17 zilikopeshwa na benki za NMB na CRDB na jumla ya shilingi bilioni 12.06 zilikopeshwa na asasi 12 za fedha. Jumla ya wananchi 72,912 wamenufaika na mikopo hiyo. Kati yao 46,299 ni wanaume na 36,613 ni wanawake. Mikopo hiyo pia imenufaisha SACCOS 192 na vikundi vingine 86. Kati ya jumla ya shilingi bilioni 49.23 zilizotolewa kwa mikopo, shilingi bilioni 39.275 zimesharejeshwa ambazo ni sawa na asilimia 79.8 ya mikopo iliyotolewa. Kiwango cha urejeshwaji mikopo kinategemewa kuongezeka kwa vile baadhi ya mikopo iliyotolewa kupitia asasi ndogo za fedha bado haijaiva. Ndugu Wananchi; Tathmini iliyofanywa inaonyesha pia kwamba yapo mambo mazuri mengi na upungufu kadhaa. Upungufu uliojitokeza ni pamoja na baadhi ya SACCOS kutoza riba kubwa kuliko kiwango cha juu kilichowekwa na serikali cha asilimia 12. Lingine ni kuwa japokuwa vijana ndiyo wanaohitaji uwezeshaji wa kujiajiri lakini ni asilimia 32.5 tu ya vijana waliokopeshwa. Aidha, wanawake walikuwa ni asilimia 38.4 tu ya waliokopeshwa. Baadhi ya mazuri yaliyojitokeza ni pamoja na: ongezeko la ajira la asilimia 3.8; kuongezeka kwa watu wenye akaunti benki kwani asilimia 33 ya waliokopeshwa walifungua akaunti kwa mara ya kwanza. Lingine muhimu ni kupanda hadhi kwa baadhi ya SACCOS, vikundi na watu binafsi kulikowafanya waweze kupata sifa na nafasi ya kukopeshwa na mabenki. Urejeshwaji wa mikopo kwa takribani asilimia 80 ni wa kuridhisha japo ingekuwa bora kiasi chote au hata zaidi ya hapo kitarejeshwa. Hivyo basi juhudi ziendelee kufanyika katika kurejesha mikopo iliyosalia. Ndugu Wananchi; Kwa ujumla tathmini iliyofanyika inaonesha kuwa mpango huu ni wenye manufaa na kwamba yafaa tuendelee nao. Pia kwamba tuuongezee uwezo ili wananchi wengi zaidi wafaidike nao. Serikali inayaafiki mapendekezo hayo na inayafanyia kazi. Ni makusudio yetu kuwa katika bajeti ijayo tutatenga fedha zaidi katika Mfuko huu. Tutaendelea kutumia mpango wa dhamana kwa mabenki ili kuongeza fedha za uwezeshaji. Aidha, tutauboresha mfuko huu na mingineyo yote ya uwezeshaji kiutendaji na kifedha ili watu wetu wengi waweze kunufaika nayo. Tutatengeneza mfumo maalum utakaowawezesha vijana wengi zaidi kunufaika. Ndugu Wananchi; Naelewa kuwa upo utaratibu unaozitaka Halmashauri za Wilaya na Miji kutenga asilimia 10 ya mapato ya ndani kwa ajili ya mikopo ya wanawake na vijana. Utekelezaji wa utaratibu huu umekuwa ukisuasua. Napenda kutumia nafasi hii kuzikumbusha Halmashauri zote nchini kuhakikisha kuwa zinatekeleza agizo hilo bila kukosa. Wakuu wa Wilaya wafuatilie utekelezaji wa agizo hili na watoe taarifa kwa Wakuu wa Mikoa kila miezi minne ambao nao watatoa taarifa kwa Waziri Mkuu. Malimbikizo ya Madai ya Watumishi Serikalini Ndugu Wananchi; Katika mwaka 2011 kero ya malimbikizo ya madai ya stahili mbalimbali za watumishi wa umma wakiwemo walimu imejirudia tena. Tatizo hili nililikuta wakati naanza kazi hii na tukafanya jitihada kubwa na kulipa madeni yote. Baada ya kubaini kuwa limekuwa linajirudiarudia kila baada ya kipindi kifupi, nilitoa maelekezo kwa Halmashauri za Wilaya na Miji na Wizara za Serikali kuhakikisha kuwa tatizo hilo linakoma. Kuhusu uhamisho nilielekeza kwamba kama Halmashauri au taasisi yoyote ya Serikali haina pesa za uhamisho, isiwahamishe watumishi wake. Niliagiza kuwa mtindo wa kuhamisha watumishi bila ya kuwa na fedha za uhamisho ukomeshwe mara moja. Nilitaka kiongozi au mhusika yeyote atakayekiuka agizo hili alipishwe yeye gharama za kumhamisha mtumishi huyo. Kuhusu madai ya likizo nilielekeza kutengwe fedha za kutosha za likizo kwani mapumziko ni haki na muhimu kwa wafanyakazi. Hata hivyo kama fedha hakuna si busara kulimbikiza madeni. Uzuri wa likizo ni kuwa hazipotei. Wakati wa kustaafu siku za likizo ambazo mtumishi hakuchukua hulipwa. Ndugu Wananchi; Nilisema pia kwamba suala la kuwapandisha watumishi vyeo bila kuwarekebishia mishahara yao kwa wakati ni upungufu wa kiutendaji ambao ni lazima ukomeshwe mara moja. Kupandishwa watumishi vyeo ni mpango unaoeleweka na siyo jambo la dharura wala ajali. Kwa mujibu wa utaratibu wa Serikali, mtumishi hupandishwa cheo kwa misingi miwili. Kwanza, kutimiza masharti ya muundo wake wa utumishi, na pili, kuwepo kwa fedha kwenye bajeti ya Wizara au Idara husika kwa madhumuni hayo. Hivyo iweje leo mtu apandishwe madaraja bila kulipwa mshahara stahiki? Hili halieleweki na wala halikubaliki. Ndugu Wananchi; Niliagiza viongozi wa Wizara zote na Halmashauri kuhakikisha kuwa watumishi wote wanapandishwa vyeo wakati wao ukiwadia na wanalipwa stahili zao kwa wakati. Hali kadhalika, madeni ya malimbikizo ya mafunzo hayawezi kuwepo kama utaratibu wa serikali wa mafunzo ungefuatwa. Chini ya utaratibu huo mambo matatu hupaswa kuzingatiwa. Kwanza, mpango wa mafunzo wa Wizara, Idara au Taasisi. Pili, watumishi wanaohitaji mafunzo kuingizwa kwenye mpango wa mafunzo wa taasisi husika. Tatu, kutenga fedha za kugharamia mafunzo hayo. Kama fedha haikutengwa, mtumishi hawezi kwenda kusoma. Mtumishi anayejiendeleza nje ya mpango huo atafanya hivyo kwa gharama zake mwenyewe. Sasa madeni hayo ya mafunzo yanatoka wapi? Kama wako watendaji wanaowaruhusu watumishi walio chini yao kwenda kusoma bila kutengewa fedha kwenye bajeti wawajibishwe ipasavyo. Ndugu Wananchi; Baada ya hotuba yangu ya Februari, 2009 na Serikali kulipa takriban shilingi bilioni 64 kwa madai ya walimu mwaka huo, bado Serikali ililipa tena shilingi bilioni 29.8 kati ya Julai 2010 na Oktoba 2011. Hivi sasa nimeambiwa tena kuna madai mapya yaliyofikia shilingi bilioni 52.7. Sina tatizo na madai yanayostahili kulipwa na najua kwamba shilingi bilioni 22.5 zimetolewa na kati ya hizo shilingi bilioni 19.2 zimekwishapelekwa kwenye Halmashauri husika na shilingi bilioni 3.3 ni kwa ajili ya waajiriwa wa Wizara. Zilizobakia zitalipwa kwenye mishahara yao. Bado ningependa kujua imekuwaje tena kuwe na malimbikizo makubwa kiasi hiki. Mambo haya tulikwishaelewana kuhusu namna ya kuepuka malimbikizo. Kulikoni? Je lini tabia hii ya kulimbikiza madeni itakoma? Nataka majibu toka kwa wahusika. Ndugu Wananchi; Hivi karibuni tumelijadili suala la ajira na huduma kwa walimu. Tumegundua kuwa zipo mamlaka kadhaa zinazohusika na ajira na masuala ya walimu na kwamba huenda inachangia kasoro hizi zinazojitokeza. Tumeelewana kuhusu kulitafutia ufumbuzi wa kudum wa suala hilo mapema iwezekanavyo. Labda itasaidia. Naamini baada ya muda si mrefu tutakuwa tumepata jawabu litakaloturidhisha sote. Serikali na walimu ili tuondokane na misuguano isiyokuwa ya lazima. Mahusiano ya Kimataifa Ndugu Wananchi; Katika medani ya Kimataifa mwaka 2011, Serikali iliendelea kutetea na kuendeleza maslahi ya Tanzania nje ya nchi. Mahusiano yetu na mataifa na mashirika ya kikanda na kimataifa yamezidi kuimarika. Ahadi yetu katika mwaka 2012 ni kuendeleza juhudi hizo maradufu kwani nchi yetu inanufaika sana kwa ajili hiyo. Washirika wetu wa maendeleo wameendelea kutuunga mkono, kututia moyo na kutusaidia katika juhudi zetu za kujiletea maendeleo. Tunawashukuru sana kwa ushirikiano mzuri na misaada yao na tunawaahidi kuitumia vizuri misaada hiyo. Sensa Ndugu Wananchi; Katika kumalizia hotuba yangu nataka kuzungumzia mambo mawili. Jambo la kwanza ni Sensa ya Watu na Makazi itakayofanyika Jumapili ya tarehe 26 Agosti, 2012. Hapa nchini tumekuwa na utaratibu wa kufanya sensa kila baada ya miaka 10, na mara ya mwisho ilikuwa mwaka 2002. Kufanya Sensa ya Watu na Makazi ni jambo lenye umuhimu wa kipekee kwa taifa. Takwimu na taarifa zitakazokusanywa husaidia taifa katika kupanga mikakati na mipango yake ya maendeleo. Aidha, husaidia Serikali kupima mafanikio ya programu zake mbalimbali za Maendeleo. Husaidia pia kujipanga vizuri katika kufanya mambo yake. Ndugu Wananchi; Maandalizi ya kufanyika kwa sensa hiyo yanaendelea vizuri. Maelekezo yanatolewa na yataendelea kutolewa kuhusu namna itakavyofanyika na wajibu wa kila mmoja wetu. Ninawaomba Watanzania wenzangu msikilize maelezo na maelekezo hayo. Pia naomba nyote muhifadhi na kuikumbuka tarehe hiyo ili siku hiyo mtu asikose kuhesabiwa. Mwisho, naomba kila mmoja wetu awepo kuhesabiwa siku hiyo. Vitambulisho vya UTaifa Ndugu Wananchi, Jambo la pili ni vitambulisho vya uraia. Hatimaye azma ya tangu Uhuru ya kila mwananchi kuwa na kitambulisho cha uraia tumeweza kuanza kuitimiza. Mwezi Desemba mwaka 2011, mchakato wa utoaji wa vitambulisho vya uraia umeanza. Mchakato huu ambao ni wa miaka mitatu umegawanyika katika awamu nne kila moja ikihusisha makundi mbalimbali. Awamu ya kwanza imeanza na watumishi wa Dar-es-Salaam na Zanzibar na vitambulisho vyao vitatolewa wakati wa sherehe za Muungano mwezi Aprili 2012. Baada ya hapo zitafuta awamu nyingine. Nawasihi wananchi wenzangu mjiandae kwa kutayarisha nyaraka muhimu zitakazohitajika kwa ajili ya kufanikisha zoezi hilo. Aidha, naomba kutoa tahadhari kwamba watumishi watakaohusika na zoezi hili wawe waadilifu. Sitapenda kuona au kusikia vitambulisho vinatolewa kwa watu ambao hawastahili kuvipata. Ni wajibu wao kujiridhisha na nyaraka zinazowasilishwa na wananchi na kama watakuwa na mashaka ni vyema kuwasiliana na taasisi husika kwa uthibitisho zaidi. Hitimisho Ndugu Wananchi; Watanzania Wenzangu; Wakati tunapojiandaa kuanza mwaka mpya hapo kesho, napenda kuwahakikishia kuwa mimi na wenzangu Serikalini tumedhamiria kwa dhati kuwatumikia kwa moyo wetu wote na kwa nguvu zetu zote. Tutajitahidi kwa kadri ya uwezo wetu na vipaji alivyotujaalia Mwenyezi Mungu kushirikiana nanyi katika kutafuta ufumbuzi wa kudumu wa changamoto zinazolikabili taifa letu na watu wake. Naamini kwa pamoja na ushirikiano tutaweza, kila mtu atimize wajibu wake. Baada ya kusema hayo, nawatakieni nyote heri na fanaka tele katika mwaka mpya 2012. Sote tusherehekee kwa amani na utulivu. Mungu Ibariki Afrika; Mungu Ibariki Tanzania. Asanteni kwa kunisikiliza.

Here comes 2012! Spectacular fireworks light up the skylines as countries across the world welcome the new year

By PAMELA OWEN
Australia welcomes in the New Year with its spectacular firework display by the Sydney Opera House. This year's theme was 'Time to Dream' and Harbour Bridge was the main focal point.
More than 1million people gathered to watch the display which saw a series of colourful lights beamed into the centre of the bridge forming an endless rainbow. The first country to see in the new year was Samoa after the island hopped over the dateline. They are usually the last.
Fireworks light up the skyline over Sydney Harbour during the midnight fireworks session
Spectacular fireworks have lit up the night skies as countries across the globe celebrate the New Year, including Australia, Singapore and Japan.
More than a million people gathered at mass at vantage points along the harbour to watch the pyrotechnics display in Sydney, Australia, which featured the arch of the bridge as its focal point.
This year's theme was 'Time to Dream' and it is hoped it will help inspire those who have had a particularly bad 2011 to look forward to the year ahead.
Some of the fireworks exploded into shapes of clouds - because every one has a silver lining - and a series of colourful lights were beamed into the centre of the bridge forming an 'endless rainbow'.
Fireworks explode over Marina Bay during the New Year celebrations in Singapore
Spectacular scenes could be seen from across the city as fireworks exploded over Marina Bay during the New Year celebrations in Singapore
Indian students in Ahmadabad show off placards as they prepare to welcome in the New Year
Some 3,000 police officers will be on duty overnight to deal with the crowds expected to descend on the capital, not only on the banks of the Thames to watch the fireworks but also in Trafalgar Square.
Some will be stationed on podiums to give them a bird's-eye view of any troublemakers in the crowds.
Chief Superintendent Julia Pendry, of Scotland Yard, said: 'New Year's Eve is a special time of the year and we want people to enjoy it to the full.
'Make sure you look after yourself and those around you. Officers will be out and about to deter criminals and keep crowds safe.
'New Year's Eve in central London is extremely busy so do come prepared and wrap up warm, as you may have to wait to prevent overcrowding. The viewing area does fill up really quickly and each area will be closed off by the organisers once it reaches its capacity.'
She urged people to consider watching the fireworks on TV instead, as sometimes the viewing area fills up as early as 8pm.
All travel in London will be free from 11.45pm on New Year's Eve until 4.30am on New Year's Day. Road closures will be in place in the city from 4pm on December 31. British Transport Police have advised travellers to expect queues on their journey home from the centre of London.

Mzigo wa Mwenzio Unapokuwa fantasy kwa wengine.

Donna Simpson moved from New Jersey to Ohio after splitting with fiancé
  • 44-year-old was star in fantasy fetish community and men paid her to eat
  • Huge mother-of-two who wore XXXXXXXL clothing has already lost 85lbs
Her fans wanted her to become as large as possible and she quickly became a star in a bizarre fantasy fetish community that worshipped the overweight and bought pizzas for her to munch on. But life is changing for Donna Simpson. The 600lb mother-of-two moved from New Jersey to Akron, Ohio, after her five-year relationship with fiancé Philippe Gouamba, 49, ended earlier this year. The 5’4" woman has also turned away from the fantasy world, replacing videos of her eating with a blog about her journey to health. Ms Simpson has already lost 85lbs on her long road to weight loss. Healthy start: Donna Simpson, 44, of Akron, Ohio, has also turned away from the fat fantasy fetish world, replacing videos of her eating with a blog about her journey to health Fruit and veg: Ms Simpson, who uses a mobility scooter to get around, takes a trip shopping with her daughter Jacqueline. She has already lost 85lbs on her long road to weight loss ‘I realised that I was their fantasy,’ she said of her viewers who paid her to buy more food. ‘Here I was getting bigger and bigger, and they had their thin wives, with two-and-a-half kids and a picket fence. ‘I'm not trying to be a size 4 (or) a thin-mint,’ said the 44-year-old, who is believed to be the heaviest woman ever to have given birth. ‘I just want to be normal and more active.’ One man from Germany sent her a credit card with specific instructions of buying pizzas, Chinese food and other takeaways, as he wanted her to use his money to become as large as possible. ‘He didn't even need to see me. Just the fact that he was feeding me was enough of a thrill for him.’ Ms Simpson had a website where men paid $19 a month to watch her eat and she flew around the world for events. She became the most popular model on SupersizedBombshells.com. But now she has moved back to her hometown of Akron and embarked on a new plan. It was a big change as she requires a mobility scooter to go shopping and wears XXXXXXXL clothing. Fat fans: Ms Simpson also said some of the people who watched her were rich lawyers, accountants and college students who wanted to see women whom they believe are attractive Mother and daughter: Ms Simpson entered the record books when she gave birth to Jacqueline, now four. She hopes to join a gym soon to begin walking in a pool and has modified her eating She hopes to join a gym soon to begin walking in a pool and has modified her eating. Ms Simpson has struggled to lose weight for years and weighed about 200lbs at school in Summit County, Ohio. She often ate an apple a day along with a weight-loss drink and even smoked crack cocaine for a few months several years ago in an attempt to shed pounds, but claims not to have become addicted. 'I realised that I was their fantasy. Here I was getting bigger and bigger, and they had their thin wives, with 2 1/2 kids and a picket fence' Donna Simpson ‘All it did was make me clean my house really, really fast,’ she said. But Ms Simpson still wants to drop to about 300lbs, to help her raise her daughter Jacqueline, 4, and 15-year-old son, Devin. Ms Simpson dismissed those who may be stunned by someone who weighs that much. She said she would be healthier and happier than when men watched her and sought her out. Ms Simpson also said some of the people who watched her were rich lawyers, accountants and college students who wanted to see women whom they believe are attractive. One man from California sent her $200 a week through Western Union to buy groceries. For about six weeks earlier this year he would call her to find out the list of foods she bought, she said. All over: She moved from New Jersey to Akron, Ohio, after her five-year relationship with fiancé Philippe Gouamba, 49, ended. She had a website where men paid $19 a month to watch her eat Showing off: Ms Simpson reveals her gigantic belly before she started the new healthy eating plan. She has struggled to lose weight for years and weighed about 200lbs at school in Summit County, Ohio Happy family? Donna Simpson with Philippe Gouamba before their split, and her children Devin and Jacqueline When she told him that she was done in the fantasy world, the man became angry. ‘It's not like these were toothless trolls who live under bridges,’ Ms Simpson said. The underground community is involved in a rare form of masochism known as feederism, said Stephen Levine, the co-director of the Center for Marital and Sexual Health in Beachwood, Ohio. 'I'm not trying to be a size 4 (or) a thin-mint. I just want to be normal and more active' Donna Simpson Some people love watching others become overweight and the internet helped it take off, he said. ‘I'm hesitant to say why someone would do this,’ said Janet Shibley Hyde, a University of Wisconsin psychology professor. ‘There could be all kinds of reasons. But people cannot survive at that weight.’ Ms Simpson proclaimed three years ago: ‘I love being fat; I wouldn't even mind weighing 1,000lbs.’ She suddenly began appearing in the U.S. and British media, and got to travel the world. It was claimed last year that her meal on Christmas 2010 was two 25lb turkeys, two maple-glazed hams, 15lbs of potatoes, five loaves of bread and 20lbs of vegetables. But she denies it was that big. Baby born: Ms Simpson is believed to hold the world record for the heaviest woman ever to give birth When she was younger: Childhood photos show Ms Simpson, who is from Ohio, before the giant weight gain Not so big: Pictures reveal how Ms Simpson used to be a lot slimmer before she starting putting on the pounds However Ms Simpson admitted she earned $1,000 a month from the pay-per-view eating at one point. ‘That's pretty good for eating Ho-Ho's,’ she said. ‘There are plenty of men who will buy you four pizzas and enjoy watching you eat all of them. But what it comes down to is that you become a slave to the food and to your feeder' Donna Simpson Ms Simpson has moved away from the internet days, though many are angry that she has exposed a rare and underground community. Others are mad that they can no longer see her. Her blog describes the pain of feederism and her journey. She is expecting a difficult fight. ‘There are plenty of men who will buy you four pizzas and enjoy watching you eat all of them,’ she wrote. ‘But what it comes down to is that you become a slave to the food and to your feeder.’ Ms Simpson knows that not everyone will be supportive of her bid to lose weight. ‘I have only myself to blame for the position I am currently in,’ she wrote on her blog. ‘I must now face the greatest challenge of my life. In order for the people I love most to have a happy and healthy life, I must regain my emotional and physical well-being.

Rais Kikwete ateua makatibu wa Wizara!

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Ijumaa, Desemba 30, 2011, amefanya uteuzi wa Makatibu Wakuu na Naibu Katibu Mkuu na pia amefanya uhamisho wa Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu kuanzia jana, Alhamisi, Desemba 29, 2011.



Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Bwana Phillemon Luhanjo, inasema kuwa Bwana Fanuel E. Mbonde, Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Ikulu, anahamishiwa Wizara ya Katiba na Sheria, na Bwana Alphayo Kidata, Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Ikulu, anahamishiwa Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).



Aidha, taarifa hiyo inasema kuwa Bwana Eliakim C. Maswi, ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati na Madini. Kabla ya uteuzi wake, Bwana Maswi alikuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa. Kwa sasa anakaimu nafasi ya Katibu Mkuu, Nishati na Madini.



Mheshimiwa Rais Kikwete pia amemteua Bwana Peter Ilomo, Mratibu Mkuu wa Sera na Mipango, Ofisi ya Rais, Ikulu, kuwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Ikulu.



Naye Bibi Susan Paul Mlawi ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Ikulu. Kabla ya uteuzi huu, Bibi Mlawi alikuwa Msaidizi wa Katibu wa Baraza la Mawaziri (Cabinet Under Secretary) Kamati ya Katiba na Bunge ya Baraza la Mawaziri.



Taarifa ya Bwana Luhanjo inamalizia kwa kusema kuwa mabwana Maswi na Ilomo pamoja na Bibi Mlawi wataapishwa Jumatatu, Januari 2, 2012, saa nne asubuhi, Ikulu, Dar es Salaam. Imetolewa na: Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, DAR ES SALAAM. 30 Desemba, 2011

SEFUE ATEULIWA KUWA KATIBU MKUU KIONGOZI


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Balozi Ombeni Yohana Sefue kuwa Katibu Mkuu Kiongozi. Balozi Sefue anachukua nafasi inayoachwa wazi na Bwana Phillemon Luhanjo ambaye anahitimisha mkataba wake wa utumishi wa umma kesho, Jumamosi, Desemba 31, 2011. Kabla ya uteuzi wake, Balozi Sefue alikuwa Balozi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, New York, Marekani. Kabla ya hapo, Balozi Sefue alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Marekani na kabla ya hapo alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Canada tokea Oktoba 2005. Balozi Sefue ataapishwa kesho, Jumamosi, Desemba 31, 2011 saa nne asubuhi, Ikulu, Dar es Salaam. Imetolewa na: Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, DAR ES SALAAM. INDABA BLOG INAKUPA HONGERA KWA UTEUZI HUU,NI NAFASI INAYOLINGANA NA UWEZO WAKO, UADILIFU NA UONGOZI WAKO KWA JINSI NINAVYOKUFAHAMU

MWAKA MPYA TUSISHEREHEKEE NAMNA HII

TOTO ATAKA TUMBUA!!!!!

"Sista P" wins presidential election in Jamaica

On Jamaica's rutted streets, the complaints have been chronic — home ownership is out of reach for most wage earners, the cost of electricity has skyrocketed, water service regularly fizzles out and decent jobs are scarce. Fed up with chronic hard times, voters in this debt-wracked Caribbean nation on Thursday threw out the ruling party and delivered a landslide triumph to the opposition People's National Party, or PNP, whose campaign energetically tapped voter disillusionment especially among the numerous struggling poor. The win marks a remarkable political comeback for former Prime Minister Portia Simpson Miller, who was Jamaica's first female leader during her year-and-a-half-long first stint in office that ended in 2007. The 66-year-old known affectionately as "Sista P" reached out to Jamaicans as a champion of the poor with a popular touch. "She cares about the ghetto people," said Trishette Bond, a twenty-something resident of gritty Trench Town who wore an orange shirt and a bright orange wig, the colour of Simpson Miller's slightly center-left party, which led the island for 18 years before narrowly losing 2007 elections. More: Jamaica's opposition wins elections in a landslide - Yahoo! News

John Ngahyoma Mtangazaji mahiri nchini amefariki

John Ngahyoma
Broadcaster Ngahyoma dies in Dar es Salaam Seasoned journalist John Ngahyoma (50) has died in Dar es Salaam after a long battle against liver cancer, his brother also a journalist, Ngalimecha Ngahyoma said on Friday. Ngalimecha said his young brother, died at his Tabata- Segerea home on Friday morning. The funeral wake was being held at Ngalimecha’s Kipunguni residence.Until his death, the late Ngahyoma worked for the BBC’s Dar es Salaam office. The burial is expected to be held on Saturday at the Kinondoni cemetery. The late Ngahyoma started his career at ITV/Radio One and quickly distinguished himself as a talented broadcaster. He also had a print media stint at Mwafrika and The Express newspapers “He had been suffering from liver cancer, which doctors said was a very rare disease for the last five years,” said Ngalimecha. His condition became especially bad in the last two years, he added. The late Ngahyoma lives behind a widow and three children. Source Tanzania Daily News

Introducing Marie of Merely Marie

Marie's blog is awe-inspiring - well designed, beautiful photos and a wide array of topics. Further, her style is chic and classic, her hair is lush and her musings well-written and thought provoking - Marie thanks for letting me see the good side of perfectionism ;). Introducing Marie and her lovely Blog Merely Marie:
So tell us more about yourself, who is Marie?
How did you get your start in blogging, tell us a little bit about your blog. I actually started blogging over 2 years ago, with a food blog. I wanted to blog about more than just food, so MerelyMarie was created. It is a blog about many things that interest me: style, hair & beauty, food & recipes, music & entertainment, inspiration, genuine thoughts on life, and learning to be who you are.
How would you describe your style? Comfortable & classic. I like being able to wear the same outfit to different places, and not feel over or under dressed. Refined, monochromatic looks with simple details, or one stand out piece is my current style model. I'm excited about honing it into something more sophisticated, with the tiniest bit of edge.
Where do you get your style inspirations? The internet. I love minimal, chic, timeless looks; so, anywhere I see such is where I draw inspiration from. I also really enjoy flipping through J.Crew catalogs.
What will you be wearing this holiday season? Layers. As much as I like the idea of getting glammed up, I prefer feeling warm & cozy. I also have a bright red coat that I love to wear anytime during the winter, but even more so in the midst of the holidays.
Anything else? Sure! I welcome you to stop by my blog www.merelymarie.com! If you like what you see, please subscribe. I can also be found on Facebook.
Thanks Marie! Be sure to check out Marie's blog and Facebook Page!

Dec 29, 2011

Serikali Yaanza Kutia Alama Nyumba Zitakazobomolewa Mabondeni Jijini Dar es Salaam

Mkazi wa Jangwani bondeni, Dar es Salaam, Mohamed Zuberi akilalamika mbele ya wanahabari jana, kuhusu utaratibu unaotumiwa na maofisa wa Manispaa ya Ilala kuhakiki nyumba zao zitakazobomolewa kufuatia amri ya Serikali.
Mkazi wa Jangwani, Dotto Ngoyeji akieleza malalamiko yake mbele ya wanan habari, kwamba Serikali inatakiwa kuata utaraibu kuwatendea haki katika mchakato huo wa kuhakiki nyumba zao.
Mmoja wa maofisa wa kutoka Manispaa ya Ilala, akiweka alama katika moja ya nyumba eneo la Jangwani.
Mama mkazi wa Jangwani, Dar es Salaam eneo lililokumbwa na mafuriko hivi karibuni, akiwa na huzuni baada ya nyumba yake kuwekwa alama ya kubomolewa na wakati wa mchakato wa kuhakiki nyumba hizo uliokuwa unafanywa na Maofisa wa Manispaa ya Ilala.Picha Zote na Richard Mwaikenda

Taanzania Tanzania, NAKUPENDA KWA MOYO WOTEEEE

Maisha mazuri kwa kila mtanzania si haya!!!!!

Vodacom yakusanya Milioni 6.2 za wahanga ndani ya wiki moja

Vodacom Tanzania inawashukuru wote ambao tayari wameshaonyesha upendo wao kupitia kampeni ya “Red Alert” na kufanikisha kukusanya shilingi 6,284,000/= kati ya December 22, 2011 hadi December 27, 2011.
Tunapenda kutoa wito wa kuendelea kuchangia Ndugu zetu waliopatwa na janga la mafuriko kwani bado wanahitaji misaada yetu,kwa Kupitia nambari ya Red Alert 15599 mteja anaweza kuchangia shilingi 500 kwa kutuma ujumbe mfupi – SMS yenye neno MAAFA na hakuna ukomo wa ujumbe na kwa njia ya m-pesa mteja anaweza kuchangia kuanzia shilingi 1,000 na zaidi kwenda nambari 155990.
Jinsi ya kuchangia kwa m-pesa
*150*00# kupata orodha ya huduma za m-pesa.
Hatua ya 2: Chagua 4 – Lipa Bili
Hatua ya 3: Weka namba ya kampuni – weka namba 155990
Hatua ya 4: Weka namba ya kumbukumbu – weka namba yako ya simu
Hatua ya 5: Weka kiasi – ni kuanzia Tsh 1,000 na kuendelea
Hatua ya 6: Weka namba yako ya siri
Hatua ya 7: Bonyeza 1 kwa kuhakikisha muamala na tayari utakuwa umeshachangia