Adverts

Apr 26, 2012

UNAUJUA UTAMU WA DAFU? CHEZEA DAFU WEWEE!!!

Wadau kutoka Chuo cha Mipango wakilamba madafu katka kijiji cha WAMI DAKAWA wakati wakiwa kwenye shughuli za utafiti
Mhhh mmoja wa wasomi wa chuo hicho alizidiwa na Utamu wa Dafu na kuligida kama komoni kule kwetu vijijini

Aisee hata Meku akadhani hii Mbege!! ni Bwana Mushi akinywa maji ya madafu baada ya jua kali la Wami Dakawa

Hii foleni yote inasubiri madafu! kweli utamu wa madafu kama wimbo wa Rose Mhando

Umeonaeeeee!